Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Duuh mbona unanitishajiandae na kisukari
MwanaumeWewe mwansume au mwanamke
If your not a medical personal its better to be silence......mimba
Kwa muda gani sasa mkuu,If your not a medical personal its better to be silence......
Now Nahisi ni zaid ya mwaka wa tatu tangia nimeanza kujigundua utodautiKwa muda gani sasa mkuu,
Huenda ukawa na habari zako nyingi zinakuchanganya tu
Also known as anxiety..Stress
Weight yako ikoje?Now Nahisi ni zaid ya mwaka wa tatu tangia nimeanza kujigundua utodauti
Miaka mitatu really? Nenda muone physician nduguNow Nahisi ni zaid ya mwaka wa tatu tangia nimeanza kujigundua utodauti
kati ya magonjwa haya, mojawapo halikosekani kwakoNaomba kujua dalili hizi zinaweza kuwa ugonjwa upi..
-kuchoka mara kwa Mara na usingizi mzito
-kuwa na hasira
-kuwa na njaa muda wote hata kama chakula kikiliwa
Nilikuwa napenda kufahamu ni ugonjwa gani huo!!!???
Stress au anxiety what's causes na unacure vipi hili tatizo!!???Also known as anxiety..
Hapana sina vidonda vya tumbo..mvidonda vya tumbo