Hizi division one za 7 kutoka saints zimelisaidiaje taifa, maana hali ya elimu imepomoka zaidi machawa wameongezeka kila mtu ni comedian

Hizi division one za 7 kutoka saints zimelisaidiaje taifa, maana hali ya elimu imepomoka zaidi machawa wameongezeka kila mtu ni comedian

Hapana sio kweli kilichowafanya wale waonekane smart ni kwasababu walikuwa hawasoti mtaani kama wa Sasa ila ukiangalia Kwa umakini wale walikuwa vilaza zaidi
Wa sasa hivi ambao sio vilaza impact yao ya moja kwa moja ipo wapi?
 
Wa sasa hivi ambao sio vilaza impact yao ya moja kwa moja ipo wapi?
Impact Yao utaiona wapi wakati viongozi wao ndo wazee wa zamani na wanawarithisha ukilaza, uchawi na fitina makazini?
 
Back
Top Bottom