Hivi akikuomba nanilu na kukupa ukuu wa wilaya huku amevaa hiyo raba utamtolea nje,msema kweli ni mpenzi wa mungu.
hebu koma kunizoea zoea...unikome
Wakati sisi tunamuona mshamba.
Kuna watu wakimuona kavaa hivyo wanazidi kuamini ni mwenzao- raisi wa wanyonge
Sent using simu mbovu
usinizoee...silei mm
Hahaha ya kuleana yanatoka wapi star wangu.. Sio kwa kujihami huko... Uwe na amani ee [emoji56][emoji38]
Sent using Unknown device
nijihami nn kwa lipi kwako nijiham...naona uantaka uke wenza na mm...sishei
Hahahahaha=ungemtunuku nanilu fasta na mabeste wako wangekukoma kwa nyodo na kuwarusha roho,mtoto wa kike mbele ya position na account usingeona hiyo raba wala kofia.
WaambieMbona yupo fresh tu, tatizo wabongo mnaishi sana kwa maigizo na kukariri mambo ya Hollywood movies
Sent using Jamii Forums mobile app
manengelo katika ubora wake!Jamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement😏...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts🤗
sitaki uke wenza na ww nimesema..tafuta bwana kwa nafasi yako[emoji58][emoji58]