Hizi ‘Dressing Code’ za Rais Magufuli nimezielewa

Mzee baba yupo ndani lakini raba kubwaaa na mcape wa haja. Hilo shati lake na hiyo suruali nadhani ni nguo zake za usiku maana hata siku ya kukaribisha mwaka 2019 alitokelezea nazo usiku. Mzee baba hoyeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…