Hizi ‘Dressing Code’ za Rais Magufuli nimezielewa

Hizi ‘Dressing Code’ za Rais Magufuli nimezielewa

Daaah yaani hatari kweli
Pombe kafanya makosa matatu. Kuvaa kofia ndani ya nyumba wakati hakuna jua, kuvaa viatu ndani badala ya sandalusi, kuvaa shati litakalotafusliwa vibaya. Nikiongeza la nne, tv kuwekwa mahali ambapo ataumia kichwa kwa kupinda.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Jamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement[emoji57]...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts[emoji847]
Dah...jamani mbona alikwisha sema kitambo...yeye hakuchaguliwa kuja kutafuta mchumba...nini hamuelewi? huu ni uonevu ....[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Back
Top Bottom