Pombe kafanya makosa matatu. Kuvaa kofia ndani ya nyumba wakati hakuna jua, kuvaa viatu ndani badala ya sandalusi, kuvaa shati litakalotafusliwa vibaya. Nikiongeza la nne, tv kuwekwa mahali ambapo ataumia kichwa kwa kupinda.
Ahaaaaaa! ACT Wazalendo na CCM! Mbona mambo!Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285View attachment 1053286
CC Zero IQ
Nimeona hadi huko si imeonyeshwa na meza kabisa waliyokaa
Video ! ?😳
We m nimeona Samsung HD curvedWangetuonesha na ka TV huenda ni HITACHI 14"
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
Ikipita siku hujamponda huyu mzee unaweza kuumwa.hahahaha kwenye mtumba hizo haizizdi 6000/=
TV yake ni curved si chini ya 49''.....tuoneshe yako.Wangetuonesha na ka TV huenda ni HITACHI 14"
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
😅😅😅 simpondi huo ndo ukweli..nahs na ww una pigo hizoIkipita siku hujamponda huyu mzee unaweza kuumwa.
yeah na mimi ni msukuma mshambamshamba.😅😅😅 simpondi huo ndo ukweli..nahs na ww una pigo hizo
Hapo wamechemka sana. Watambue ana maisha yake binafsi.Pale ni nyumbani na yule ni mkewe. Utani wa mke na mume unataka muulete kwenye urais?
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah na mimi ni msukuma mshambamshamba.
Yeah mimi ni bonge la mshamba.unaonanekana😎
Watanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Dah...jamani mbona alikwisha sema kitambo...yeye hakuchaguliwa kuja kutafuta mchumba...nini hamuelewi? huu ni uonevu ....[emoji41]Jamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement[emoji57]...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts[emoji847]