Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kabila lake ?Viatu 😷
Hivi akikuomba nanilu na kukupa ukuu wa wilaya huku amevaa hiyo raba utamtolea nje,msema kweli ni mpenzi wa mungu.Jamaa ana usukuma mpk leo..huo m-cape wa nn humo ndani sasa jaman..ova anafanyia wazo hill cement😏...suruali ile sasa....wenzake wknd wanavaa shorts🤗
Msenge kweli we jamaa 😀😀😀😀😀Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
nimecheka mm Kumbe na ww umeviona[emoji23][emoji23]angalia vigoti sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285
View attachment 1053284
CC Zero IQ
Viatu 😷
Kwan ndan kwako?Kwa nini anavaa viatu ndani?
Hahahaha naona viatu kama vikubwaAisee nimecheka ile mbaya, watu nyie wabaya sana dah! 😂😂😂😂😂😂🤣
Leo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285
View attachment 1053284
CC Zero IQ