Hizi english Medium zimejikita kuwaridhisha wazazi wa wanafunzi kuliko kutoa elimu

Hizi english Medium zimejikita kuwaridhisha wazazi wa wanafunzi kuliko kutoa elimu

English medium zimejikita sana kwenye kuridhisha wazazi kuliko kutoa elimu, ni bahati mbaya wazazi hawajagundua hili..

Na hizi shule zimejikita sana kwenye kuwafurahisha wazazi, walisha jua hapo ndio uchawi ulipo, na wazazi wanajifanya wako busy hawahangaiki kufuatilia baadhi ya mambo.

Mfano, utashangaa darasa labda wako wanafunzi 70, kwenye matokeo ya darasani na yanayo tumwa kwa wazazi hutaona mtoto alio shika nafasi ya 70, wanaweza ishia kwenye 20 au 30 tu unakuta nafasi 1 wanawekwa wanafunzi 10, wanafanya hivi kuwafurahisha wazazi na wanaogopa kumuweka mtoto amekuwa wa mwisho make mzazi atakasirika na anaweza muhamisha mtoto wake hapo hivyo ili kuwafurahisha wazazi wanafanya mtindo wa kufungamana kwamba kila nafasi wanafungana watoto kama 10 hivi kwa zile za juu tu.

Hilo hawafanyi kwa bahati mbaya ni Marketing strategies ya kuwaridhisha wazazi wa wanafunzi. na wanajua fika sio rahisi mzazi kufanya ufuatiliaji na hata ukifanya watakuambia wamefungana yes.

Sasa jiulize kama watoto wako 70 kwa nini wafungane waishie kwenye 30 au 20? kwa nini hakuna mtoto wa 60 wala 50 wala wa mwisho alie shika mkia?
Kwa Mfano shule ipi / zipi?
 
Kwa class I Hadi III Huwa tunayachezea sana. Hadi Huwa tunafuta majibu yasiyosahihi, tunaweka ya ukweli ili madogo wapate kuanzia tisini. Mzazi akiiona atafurahia na kuongeza moto wa kusaka pesa ili alipe ada.


Kwetu mtu Huwa havuki 15.5 ya 123 hata wanafunzi wakiwa 57 Huwa tunawadabi ili wazaz wapumbavu wafurahie.

Wakifika la nne Huwa tunawaseti kimkakati wapate A tupu.
 
English medium zimejikita sana kwenye kuridhisha wazazi kuliko kutoa elimu, ni bahati mbaya wazazi hawajagundua hili..

Na hizi shule zimejikita sana kwenye kuwafurahisha wazazi, walisha jua hapo ndio uchawi ulipo, na wazazi wanajifanya wako busy hawahangaiki kufuatilia baadhi ya mambo.

Mfano, utashangaa darasa labda wako wanafunzi 70, kwenye matokeo ya darasani na yanayo tumwa kwa wazazi hutaona mtoto alio shika nafasi ya 70, wanaweza ishia kwenye 20 au 30 tu unakuta nafasi 1 wanawekwa wanafunzi 10, wanafanya hivi kuwafurahisha wazazi na wanaogopa kumuweka mtoto amekuwa wa mwisho make mzazi atakasirika na anaweza muhamisha mtoto wake hapo hivyo ili kuwafurahisha wazazi wanafanya mtindo wa kufungamana kwamba kila nafasi wanafungana watoto kama 10 hivi kwa zile za juu tu.

Hilo hawafanyi kwa bahati mbaya ni Marketing strategies ya kuwaridhisha wazazi wa wanafunzi. na wanajua fika sio rahisi mzazi kufanya ufuatiliaji na hata ukifanya watakuambia wamefungana yes.

Sasa jiulize kama watoto wako 70 kwa nini wafungane waishie kwenye 30 au 20? kwa nini hakuna mtoto wa 60 wala 50 wala wa mwisho alie shika mkia?
Inaonekana wewe siyo mwalimu maana hata namna ya kupanga nafasi hujui kabisa
 
Kwa class I Hadi III Huwa tunayachezea sana. Hadi Huwa tunafuta majibu yasiyosahihi, tunaweka ya ukweli ili madogo wapate kuanzia tisini. Mzazi akiiona atafurahia na kuongeza moto wa kusaka pesa ili alipe ada.


Kwetu mtu Huwa havuki 15.5 ya 123 hata wanafunzi wakiwa 57 Huwa tunawadabi ili wazaz wapumbavu wafurahie.

Wakifika la nne Huwa tunawaseti kimkakati wapate A tupu.
Na necta je ?
 
Wakishaandika mwanafunzi amekua wa mwisho wewe mtoa maada utaridhika ? Iwe hivo unavosema wanafanya au hawafanyi, cha msingi usikwepe jukumu la msingi la mzazi Kwa mtoto wake, kumfuatilia matokeo yake na karatasi kiujumla ...ukijiridhisha nenda katoe Comments shuleni sio kwenye social networks...lakini usisahau una machaguo ya shule zaidi ya elfu za kumpeleka mwanao...
 
Nimeshangaa sana mwanangu kashika nafasi ya 15, lakini nikimpa hiyo mitihani aliyopata hawezi kujibu hata moja. Hapa sielewk nifanyaje! Mwanangu haelewi kabisa mambo ya shule, sijajua tatizo ni nini!
 
Acha kupoteza hela wewe kamata mtoto wako nenda kamtupe kayumba
Nimeshangaa sana mwanangu kashika nafasi ya 15, lakini nikimpa hiyo mitihani aliyopata hawezi kujibu hata moja. Hapa sielewk nifanyaje! Mwanangu haelewi kabisa mambo ya shule, sijajua tatizo ni nini!
 
Mna hela za kuchezea nyie wacheni muendelee kupigwa hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom