sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Kamatia fursa.....!Ntamuachia dada yako..Atakuletea
Mulhat Mpunga nenda kamchukulie bia kaka yakoWe ndo dada yake Mangi nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamatia fursa.....!Ntamuachia dada yako..Atakuletea
Mulhat Mpunga nenda kamchukulie bia kaka yakoWe ndo dada yake Mangi nn?
Inabidi nikufahamu isije ikawa kama huu uziUkome siku unamtongoza mkweo ndo akili itakukaa sawa
Hapo itakuwa poa tu, kama mkwe yuppo jf inamaanisha ni wa kisasa. Unajilia kuku na mayai yake.Ukome siku unamtongoza mkweo ndo akili itakukaa sawa
hivi kweli unaweza ukatongoza mtu na huku hujui hata alivyo....daah hii mpyaKatika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.
Kwa Kiswahili chako nimegundua wewe sio mchaga... Njoo PMIvi wanaume mnatongozaga na akili timamuu au za kuazima jaman mweee.pole lakini mwaego
🤣😁Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga kuwa ukimPM binti humu ndani anakumwagia mitusi. Hali ilikuwa shwari mpaka ulipowadia Muda wa kubadilishana contact. Nilipoiweka namba yake kwenye kisemeo changu, lahaula...kumbe ni ni ndugu kabisaaaa...Hali kadhalika na kwake. Tumeombana misamaha na ninaamini yatabaki pale pale. Tuwe makini wadau unaweza tongoza Mkeo. Naamini anaisoma hii sredi, sister..nimeiweka hapa ili iwe fundisho kwa wengine.
Naunga mkono hojaJF ni msitu!
Msitu mkubwa tu. Unaweza kuta unabishana na mkeo humu ama unabishana na mwajiri.JF ni msitu!
Naunga mkono hojaMsitu mkubwa tu. Unaweza kuta unabishana na mkeo humu ama unabishana na mwajiri.