Hizi familia hizi zina mengi mazito.

Ni kweli familia zina mengi, kuna wanayoyaipitia kama unaoupitia kwa sasa na kuna wengine wanamzito zaidi ya haya.

Pole sana mleta mada, mungu akupe hekima na busara katika kukabiliana na kuzitatua changamoto unazozipitia.
 
Hapa siyo kweli Kuna ndugu wanakuchukia na hawataki suluhu hata ujishushe vipi hawana jema.
Msimamo wa huyu ndugu upo sawa kabisa
 
Aisee kama tunafanana mzee ila yangu yamezd.
Uje utusimUlie mkuu japo upate ushauri maana Kuna watu ukisema wanaona mtu hujielewi yaani wanalinganisha maisha ya kwao na wazazi wao wanaona kbs mtu unachokosema ni uzushi Tu au we ndo Una matatzo.
 
Wanadam wote dunia wakikutenga ila Mungu akawa upande wako utatoboa ila wanadamu wote duniani wakupende Mungu akutenge hutoboi... chamsingi tafta sana hela mzee anazeeka na madogo ndo hao wavuta bangi ko bado ni mzigo wako na kuna siku atakutafta tu.
 
Hapa siyo kweli Kuna ndugu wanakuchukia na hawataki suluhu hata ujishushe vipi hawana jema.
Msimamo wa huyu ndugu upo sawa kabisa
Tena Mimi sasa ndugu zangu haohao maadui zangu ndo haohao wanaonikubali pia ndo haohao wananiombea mabaya yaani wametega maskio na kuomba nipatwe na mabaya ili wapate cha kujadili na si mema Kwa bahati mbaya hawajui Sana taarifazangu kwasasa hata kama wakijadili khs Mimi znakuwa ni hisia tu
 
Wanadam wote dunia wakikutenga ila Mungu akawa upande wako utatoboa ila wanadamu wote duniani wakupende Mungu akutenge hutoboi... chamsingi tafta sana hela mzee anazeeka na madogo ndo hao wavuta bangi ko bado ni mzigo wako na kuna siku atakutafta tu.
Hiki ulichokisema kwamba madogo ni mzgo wangu wewe si WA Kwanza kusema aisee.
Pili khs Mzee kuja kunitafutia pia si WA Kwanza kusema hata wale adui zangu nao huwa napata taarifa zao kwamba huwa wanasema Mzee atanitafutaga Tu.
 
Inaonekana mzee wenu and kauwezo mpk familia nzima inamtegemea. Ndugu yangu fanya yako, time itatibu kila kitu. Fanya kazi kwa bidii sana ufanikiwe wote hao watajikomba kwako kama Diamond na dingi yake
 
Ebwana tafuta kosa lako rti unaomba msamaha ujui kosa lako apo ulikuwa unadhihirisha kuwa ulifanya kweli ata mding akajua yale anayoambiwa ni kweli apo ndipo ulipokosea afu uyo mama mdogo sijui ndo mama wa kambo huyo ni adui yko hilo utake usitake mm watoto wa mama wa kambo ata asiponisalimia namwacha tu sababu najua mama yao ananowinda asije pata sababu bure pia kumbuka hii kauli no woman no cry hawa viumbe sijui wakoje mm nalishakaga futaga mpaka undugu na dada zqng niliozaliwa nao tumbo moja na nilitamla hadharan kuwa mm sina ndugu jambo hilo lilizua mjadala mkubwq sn hata kikao walichopanga sikwenda yaan in short niliuvua undugu mazima
 
Mku pambana tafuta maisha fikiria kutengeneza familia yako. Mzazi kama una namba yake mpigie mpe salam endelea na kuset mambo yako utapoteza mda kutafuta amani kwa mashangaz wakat wamesha fanyaa yao.
 
Tamaduni za kiafrika mzazi akosei yaani SKU hiyo mbele ya Wana ukoo niliomba msamaha Kwa uchungu Sana sana mpk nililia Kwa uchungu Sana na vile wananijua si mwepesi WA kulia na misimamo yangu. Mpk kuna aunt alinifuata na kuniambia aisee skutegemea kama ungeomba msamaha vile nnavyokujua lakini umefanya vema.

Kwahiyo niliomba msamaha pia kutaka yaishe Tu lakin ndo hivyo hayajaisha naambiwa nikaombe msamaha kwny makaburi hatotokea kwangu kufanya hivyo wallah
 
Uje utusimUlie mkuu japo upate ushauri maana Kuna watu ukisema wanaona mtu hujielewi yaani wanalinganisha maisha ya kwao na wazazi wao wanaona kbs mtu unachokosema ni uzushi Tu au we ndo Una matatzo.
Mzee kwanza nimefarijika kwmba sipo peke yangu ila mwaka huu ukipinduka najivua kabisa na mzee yahn maamuzi magumu yatafanyika sina namna......

Mungu anijalie tu mambo yakae on point nije niwatunze madogo na bi mkubwa waishi kiboss...!!!!
 
Mku pambana tafuta maisha fikiria kutengeneza familia yako. Mzazi kama una namba yake mpigie mpe salam endelea na kuset mambo yako utapoteza mda kutafuta amani kwa mashangaz wakat wamesha fanyaa yao.
Nilikuwa na namba yake nilikuwaga nmasalimia hajibu SMS wala kupokea simu yangu. Nilifiwa na mtoto wangu nikamtaarifu cha kushangaza akatangaza Kwa ndugu zake skumwambia nikaamua kufuta namba.
 
Mzee kwanza nimefarijika kwmba sipo peke yangu ila mwaka huu ukipinduka najivua kabisa na mzee yahn maamuzi magumu yatafanyika sina namna......

Mungu anijalie tu mambo yakae on point nije niwatunze madogo na bi mkubwa waishi kiboss...!!!!
Mimi nipo kwny harakati hzo za kutemana kbs na Mzee yaani tusjuane kbs kbs. Ukizngatia akitamka mbele yangu kwamba Alisha nidelete nikikumbuka kauli hiyo yaani napandwa na hasira sana yaani najuta hata kuitwa u bin wake.
 
Mzee alishastaafu kwasasa Hana kitu na hao wanafiki hata kumtembelea tu naskia hata hawaendi the kwake sku hz
Inaonekana mzee wenu and kauwezo mpk familia nzima inamtegemea. Ndugu yangu fanya yako, time itatibu kila kitu. Fanya kazi kwa bidii sana ufanikiwe wote hao watajikomba kwako kama Diamond na dingi yake
 
Nilikuwa na namba yake nilikuwaga nmasalimia hajibu SMS wala kupokea simu yangu. Nilifiwa na mtoto wangu nikamtaarifu cha kushangaza akatangaza Kwa ndugu zake skumwambia nikaamua kufuta namba.
Mku inaonyesha mze wako ana mali sasa anatumia hizo mali kama mtego wa kukunyanyasa ,Tafuta zako ukilazimisha akukubali mtaishia kugombaba zaidi ww tafuta namba zake mara moja moja mpe hi ajibu asijibu we timiza wajibu kumuheshimu kuepuka laana .
 
Sikia kamanda we hawa ndugu huwajui vzr we jiulize mpka mzee kasema uend3 kwenye kabur la mama yke unajua wamemwambia nn tena yawezekana kitu walichomwambia ni aibu na hata y haw3z kukitamka kwa mdomo wake tafuta kosa lako mwambie mzee kwa ujasir mm sijui kosa langu ngojq nikupe story kidogo

Mm niliwah pigwa na mama yngu mzazi kwa kushinikizwa na dada zangu hao ambao nimewataja apo juu kuwa nilifuta undugu nao mama alinipiga sn kosa lenyewe basi eti kuvaa nguo ambayo yy haitaki nalipoishika fimbo naikuivunja mama akapiga simu kwa mzee kuwa nimempiga mzee akaja hmr nilipigwa tena kichapo heavy

Kesho yke asubuh nilienda ofisin kwa mzee nikamweleza a z jimsi nilivyolazimishwa nivae nguo ambayo siipend mzee alikasirika sn na nilimwambia mm sikumgusa mama hata kibao bali nilishika fimbo mzee alichukia mm nikqyaacha hapo kumbe nyuma mzee alimpigia simu mama alimfokea sn kitendo cha kubadili maneno kukuza kesi kuwa nimempiga mama akarudisha chuki kwangu eti kwann nilirud kwa mzee eti nilipopigwa nilipaswa kunyamaza wale dada zngu wakamwambia mama kuwa dogo anataka uachwe bifu likawa kubwa sn mwisho nilifikia muafaka wa ajabu sn nilimdelete mama yngu mzazi na hao dada zangu

Hali io ilizua taharuk sn baina ya ndugu sikujali baadae tulikuja kuwekana sawa lakim mpaka leo hii naish nao kwa tahadhar kubwa mno
 
Hapa siyo kweli Kuna ndugu wanakuchukia na hawataki suluhu hata ujishushe vipi hawana jema.
Msimamo wa huyu ndugu upo sawa kabisa
Mnafanana misimamo yenu japo inawapitisha wakati wa kuwaza sana na kuwazua.

Jishusheni kwa wakubwa zenu.
 
Watu ambao hawajapitia familia za mchanganyiko hivi hawawezi kukuelewa kabisa,achana nao!
Km baba mlikuwa vzr ghafla kabadirika inawezekana kabisa wamekufarakanisha nae kwa sababu zao ,maadamu huna kinyongo wala usipate shida,achana nao ila unapoomba,omba toba tu kwa ajili yako na yao pia,Mwambie Mungu awasamehe ,then acha Mungu aingilie kati utaona mwenyewe watarudi mmoja baada ya mwingine kusema waliyokufanyia!
 
Huu ushauri sio wa mvulana, ni wa mtu wa Nakano kama sio mtu mzima.

Japo Mimi sio mlengwa, lakini nimeyachukua kwa manufaa yangu. Big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…