Umeleta ishu yako huku ili upate ushauri, Sasa acha kubishana , wewe chukua chenye kukufaa kisichofaa Baki nacho kumtima.Khs salama ya dogo bs niseme nilikosea hayo mengne unayoisema ni kwasababu hayajakukuta Tu Mzee kweli tena kuna watu ni pasua kichwa.
Kuhusu ulalamishi Kwa taarifa yako sinaga muda wa kulalamikia mtu hata SKU moja mi nilishaamua kufanya maisha yangu sina chuki na mtu aisee.
Ndugu yangu ndugu yangu ndugu yangu.
Kama ni kufa hata wao wanaweza tangulia nikalea watoto wao.
Kama marafiki ninao ndani ya ukoo tena wengne ni haohao adui zangu wananikubali na ushahidi ninao kwamba wananikubali hata lilitokea tukio la wanaukoo lazma waniulzie kama nipo au sjafka pale haijalishi wengne nao hawajafka.
mkuu tafuta pesa,, ka wamekuona hufai na ww waone hivyo hivyo!!kwanza kaa mbali nao na wasijuwe ulipo wala mawasiliano yyte yale futa, kama kweli huna kosa kama ulieleza hapa sion haja ya kuomba msamaha mtu kwa kosa usilolijua,, tafuta pesa omba Mungu wako hakika utafanikiwa ipo sikj watakutafta wenyewe ila usisite kuleta mrejesho,,,Mkoa siwezi sema mkuu si unajua. Ila nipo kanda ya ziwa.
Kutonikubali kwao ilikuwa kimaslahi Tu maana Mzee alikuwa njema kiuchumi kuliko ndugu zake wote na walikuwa wanamtegemea Sana sa alipoanza hamishia nguvu kwangu na Mimi nilivyokuwa najaribu kuangalia sn maslahi ya familia Kwanza kuliko wengne ikaanza kuwapa shida ndugu WA Mzee ukizngatia hao akina aunt ndo wakimpindua mama na kufanya house awe mama mwny nyumba.
Kuhusu ma mdogo nadhan hofu yake ilikuwa endapo taendelea kushika hatamu Kwa Mzee uwenda swala la Maza kupinduliwa ningeliibua ikampa shida sn pale kwenye mji wake ikabd awe upande WA WiFi zake wanipindue kama walivyompindua maza
"Kikulacho kinguoni mwako"tayari NPO mkoa mwngn kbs na hawajui nipo mkoa upi kikazi na namba zangu hawana Ila kuna dogo mmoja upande WA ma mdogo ni WA kike ananikubali kinyama yaani hata nikipotea vp atapambana mpk anipate uzuri Naye hamkubali Mzee wala shangaz zake. Na anajua fika sina shida na mama ake Ila wabaya ni kina shangazi huyu ndo huwa kidogo tunawasiliana Sana pia yupo dogo WA aunt yng ndiye kufa na kuzkana maana misimamo yetu inaendana kuhusu ndugu.
tatu Nina marafiki zangu wawili hao ni zaidi ya ndugu kbs nilisoma nao advance na chuo mmoja ni pastor mwngn ni advocate sjawahi pata shida hata kidogo wasje aisee.
mm nakushaul wala usiende kabisa delete them..utakufa mkuu siku s zakoMimi kwa mzee nimetoka Kikwete akigombea awamu ya kwanza. Nilipatembelea tena mwaka 2011 na sijarudi tena. Leo hii sipakumbuki, naweza kwenda endapo tu mke wake atakuwa safari ya mbali. Mambo ya kuhatarisha usalama wangu sitaki
Ww endelea na maisha yako ,,,mtoa laana ni Mungu ,,kama kweli hujawahi mkosea Mzee ,,,Alishakuzaa kaz yake kamaliza ,,,Ndg ni Masnitch sana,,,Khs salama ya dogo bs niseme nilikosea hayo mengne unayoisema ni kwasababu hayajakukuta Tu Mzee kweli tena kuna watu ni pasua kichwa.
Kuhusu ulalamishi Kwa taarifa yako sinaga muda wa kulalamikia mtu hata SKU moja mi nilishaamua kufanya maisha yangu sina chuki na mtu aisee.
Nimeishi na mdogo wangu (mtoto wa mjombawangu)toka mwaka 2007 akiwa kafukuzwa kwao kisa kasababisha shot ya umeme na kuharibu vifaa vingi vya umeme ndani. Dada ake (mama angu)akajaribu kumuombea msamaha akakataa. 2008 wakakaa kikao cha familia uncle akamsamehe dogo lakini kwa kuwa tayari mjomba ana negative attitude juu dogo ikawa kila dogo akifanya mistakes ndogo ndogo uncle anazikuza na kuwa story kila kona. Hivyo dogo akakosa amani na akawa ana muda mchache wakujisomea so hata performance yake school ikapungua. Siku moja nikampitia dogo tukapige basketball mana dogo alikuwa mkali sana kwenye Basket japo alikua mfupi na tulivyoenda akakiwasha kinoma. Sasa kurudi home uncle akamzingua sana viboko vingi na akafunga mlango dogo alale nje. Dogo akajiongeza akapanda boda hadi home (kule kwenye basket alitunzwa vipesa na mashabiki ) akanigongea nikamfungulia akanisimulia ikabidi alale home. Kuamka asbuhi ikiwa nongwa uncle akawasha moto hadi home na akamfukuza dogo kwake eti aishi hukohuko alikolala ndo kwao. Mzee zilikuwa haziungi na uncle na kitendo cha mjomba kuja kufoka pale home akakitofsiri kama dharau hivyo nayeye akamfukuza dogo pale home. Iliniuma sana na ukizingatia me nimehusika kumshawishi dogo twende kwenye game na bahati mbaya mother ashafariki ambae ndo angekuwa mtetezi. Basi nikamuomba sana mzee amkubari dogo mzee akagoma, nikamuita shangazi yangu mmoja (huwa anamuweza father) tukamlilia sana mzee lakini wapi . Mzee akasema kuliko amruhusu dogo kuja pale bora akaishi kwenye moja kati ya nyumba zake alizokuwa anapangisha (mzee alikuwa jumla ana nyumba 6 mbili za urithi) . Basi me nikaona ngoja nihame home nikaishi na dogo kule kwenye nyumba ya mzee ambayo haipo mbali sana na home( ili msosi niwe nachukuwa home tunakula wote). Kiufupi tuliishi na dogo toka 2008 akiwa form2 me nikiwa form 4 hadi me nikamaliza nikaanza saka life kabda ya matokeo kwa kupiga biashara za hapa na pale huku tukiwa hatuelewani na uncle. Dogo akamaliza 2010 akaingia advance pale tabora boys (dogo alikua na akili mno) 20013 akamaliza 6 kwenye application za mkopo mzee wake akagoma ku sign form ya mzazi hivyo dogo akaomba aende veta(japo sikumuelewa) aunt akamlipia na badae akamuunganisha na mzee mmoja tanesco dogo akaanza kama service man badae akala shavu na mpaka sasa ashaenda chuo kamaliza engineering yake na ni kitengo tanesco na mzee wake akaanza kurudisha majeshi (kwanza alianza kujilalamikisha kwa watu eti dogo amemtenga hajui kama ye ndo baba au ana baba mwingine? Badae akaanza kuwasukuma wanae wadogo(wadogo zake dogo wakimuomba pesa anasema wakamuombe kaka yao) uzalendo ukamshinda akiwa ashchoka kimaisha akamuita dogo akasema alikuwa amerogwa (kumchukia) dogo akataka kumkazia but father akamkataza na dogo anamsikiliza sana mzee wangu. Ko mpaka sasa wapo pamoja. Ko story yako me nime experience kupitia binam yangu.Hiki ulichokisema kwamba madogo ni mzgo wangu wewe si WA Kwanza kusema aisee.
Pili khs Mzee kuja kunitafutia pia si WA Kwanza kusema hata wale adui zangu nao huwa napata taarifa zao kwamba huwa wanasema Mzee atanitafutaga Tu.
akijichanganya akarudi tu atapewa kesi ya kumchungulia ma mdogo wakati anaoga au kumtongoza ama ma mdogo au mdogo wake kabisaUnachokosa hapa ni kushindwa kujishusha mara kwa mara hasa kwa hao dnugu zako wasio enda shule.
Wewe ni mtu wa Kupenda haki sana na hupe di kuonewa, ukiwa na ndugu jaribu kujishusha.
Mjeuri inaweza semwa kwa sababu ukiambiwa jambo unalifanya lakini kwa njia tofauti tena kwa maamuzi yako binafsi, unapaswa kujadiliana na mtu anaekupa Amari iwapo unataka kutumia njia nyingine kutatua hiyo changamoto.
Mwisho. rudi nyumbani ukweke mambo swa kama hujaharibu kizazi chako kijacho.
Pole sana, Mi najua nguvu ya mahusiano ya kifamilia hasa linapofika suala la ndugu waliozaliwa pamoja, Mara nyingi sana Madada wanapenda sana kuingilia mahusiano ya kaka zao lakini pia hupenda sana kuwalalamikia mawifi zao(waikoolewa) kwa mahusiano yao na waume zao na hasa kama Kwa kaka kuna maslahi mapana.Tatzo Mzee wangu Tyr alishatekwa na ma mdogo ambaye alimpindua max akishirikiana na Dada zake na Mzee
Pili Mzee ametawaliwa na Dada zake.
Tatu nilishakaa Naye kujua tatzo nn bt hakunielewa ukizngatia kuna taarifa za kuchezewa Kwa ndumba na wapinzani wangu.
Nne hata SKU ya mwisho nilipokanyaga home nilimuomba msamaha Kwa yote Kwa mara nyngn ndo akaleta masharti niliyosema hapo juu na hayo masharti Kwa Imani yangu spo Tyr kusujudia kaburi wala kusujudia wanadamu Kwa kitu ambacho si cha kweli.
Khs salama ya dogo bs niseme nilikosea hayo mengne unayoisema ni kwasababu hayajakukuta Tu Mzee kweli tena kuna watu ni pasua kichwa.
Kuhusu ulalamishi Kwa taarifa yako sinaga muda wa kulalamikia mtu hata SKU moja mi nilishaamua kufanya maisha yangu sina chuki na mtu aisee.