Hizi fedha za kuendesha makongamano, warsha na matukio mbalimbali ya kuadhimisha miaka mitatu ya Rais Samia zinatoka wapi? Au sekta binafsi?

Mbowe ni pesa zake hizo warsha ni pesa za serikali
Zake au za babake?? Au ulidhani alizaliwa mwenyewe kwao kamba pesa zote za urithi ni zake?? Kwanini siku zote hakujenga Machame kama pesa ni zake ye mwenyewe??

Alafu kama ana pesa kwanini aliwachangisha Join the Chain??
 
Hizo fedha zinatolewa na warabu wa DP World
 
Zake au za babake?? Au ulidhani alizaliwa mwenyewe kwao kamba pesa zote za urithi ni zake?? Kwanini siku zote hakujenga Machame kama pesa ni zake ye mwenyewe??

Alafu kama ana pesa kwanini aliwachangisha Join the Chain??
Mjinga ni mtu yule anae hamisha mjadala wa kitaifa na kuupeleka kuwa mjadala wa kujadili maisha ya watu binafsi kwa hakika wewe ni mjinga
 
Tumeziokoa ktk manunuzi ya mchele baada ya kupata ule wa msaada kutoka kwa watu wa Marekani!
 
Toa sasa njia mbadala kuwa nyie/hao wanyonge wanatokaje kwenye huo unyonge na siyo kujisifia huo unyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…