Pesa ninazo ndio maana nipo nalewa Mida hii,
Kuhoji siyo fikra za kimaskini ndio maana china ukiiba unanyongwa
Someni japo kidogo Duniani inaendeshwaje, fedha siyo za mtu ni za umma ndio maana tupo hapa tunawakumbusha watawala kwamba yupo mtanzania hana japo mlo mmoja
Sisi wengine hadi tunaweza kununua bando tunashukuru
Ila hawa wenzetu pesa hizi kwenye nchi maskini wanazitoa wapi?