Hiyo siiwezi bei mkuu!Nunua toyota crown
Kana hama njia!Hako kadude ukizidi kuongeza speed si kanapelekwa na upepo?
Mkuu hivi moro upo sehemu gani ?Kana hama njia!
Sasa unamwambia nani???.Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....
Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].
Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]
Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]
Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]
MITANO TENA[emoji3166]
Msije kumdanganya tu kuwa Crown inaenda km14/Lita mjini!Nunua toyota crown
JF bhana! Hapo uko na Passo ungekuwa na LX570 si ungetumia nusu saa!We kweli mvivu,mi na ka passo kangu mji kasoro meli to dar natumia masaa 2.30,nyoosha goti hilo,mtu barabara unakuta nyeupe unanyata sasa si lazima upitwe hata na bajaj ndugu
Hahaaaaaaaaaaaaa,ndio manake mkuuJF bhana! Hapo uko na Passo ungekuwa na LX570 si ungetumia nusu saa!
unayadharau mabasi?...wewe na gari lako dogo jaribu kwenda sambamba na sauli bus dar-mbeya uone mziki wake.Mkuu unapitwa hadi na mabasi ???
Basi wewe una mguu mfupi aisee
Mabasi hayana kikubwa cha kutisha sana.unayadharau mabasi?...wewe na gari lako dogo jaribu kwenda sambamba na sauli bus dar-mbeya uone mziki wake.
sehemu pekee utakayompita ni kwenye mzani au kwenye kituo ambacho bus linalazimika kusimama ili abiria waende kula au kuchimba dawa.
View attachment 1740531
time management yao inakuwa effected na dakika wanazopoteza kwenye mizani, kuchimba dawa, kula, tochi na kadharika.Mabasi hayana kikubwa cha kutisha sana.
Wao wanachoweza ni time management.
time management yao inakuwa effected na dakika wanazopoteza kwenye mizani, kuchimba dawa, kula, tochi na kadharika.
halafu kwenye comment yangu nimeitaja sauli, sio basi zote zipo vizuri kwenye mwendo.
Gx110 ni chaguo sahihi kabisa.
ninayo miaka 6 na sijawahi fikiria kuiuza
Ligi barabarani ndio usiseme
Bus zote speed mwisho 85 akizidisha hapo ni faini kwenda mbele so kwa speed hiyo hata IST akitembea 90 anaiacha.
Huyu hana gari anazingua au vitz mkweche noBVitz c huwa zina cc 990 na kuna za cc1290 hiyo 800 vipi mkuu