Masaa 6 mengi sana kukaa na ako ka kiberiti..gari utazani umekalia kigoda
πππ mkuu kweli funcargo ilipaswa kuwa namba 1Maajabu.
Hadi sasa sijaona funcargo.
Nikifikiri itakuwa ya kwanza.
[emoji1787][emoji1787]Halafu mmeisema passo hadi roho imeniuma.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hilo no.1 aliyelitengeneza naye basi tu alitaka aonekane kabuni kigari cha tofauti.