Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Ha ha hapna mkuu sijawahi miliki Toyota achilia mbali hizo Porte na wenzake, lakini hili halinipi sababu ya kuwabeza wenye nazo!
Kwani mimi nawabeza wenye nazo?
 
Ukistaajabu ya Porte utakuwa hujakumbana na Passo short chasis. Juzi kati kamenipita ka passo milango miwili nilijikuta natema chini
Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?

Unatema kupitia wapi?Kikojoleo au makalioni?

Mnadharau usafiri wa wenzenu kwanini?Ninalo hapa mpaka nimejisikia vibaya mno!!!

Be serious dude!!!
 
Baby walker ni za kuendea sokoni Mahouse girls na Shamba Boyz kununulia mazagazaga ya nyumbani(Kununua nyama,maji makubwa ,unga kiroba,mchele etc)!!
 
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.

Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!

Mara nyingi uchaguzi "Choices" huja pale unapokua na uwezo

Wengi wanaunga mkono humu ila akipewa hilo anashukuru hadi anapiga magoti😄😄
 
1594539160959.jpeg

Pata Harley-Davidson, pikipiki wanaume wa maana, siyo vi boxer ambayo vikienda 80km/ hr unaacha mud guard barabarani.
 
Dream Car yangu Mimi ni Harrier haijaloshi Old au New model napigana usiku na mchana niipate, Nina miaka mitano serikalini toka niajiriwe lengo langu ni Ndani ya hii miaka mitano ya mwisho ya JPM niinyakue haijalishi kwa mkopo wa Bank au cash yangu binafsi
Mmh
 
Back
Top Bottom