Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Sanlg sawa na baiskeli tuOngeeni yote na toeni povu hadi makoo yakauke ila Passo, Fun cargo, Toyota IQ na mengine ya ukoo huo ni sawa kwa sheria na taratibu za kejeli kuyaita Sanlg zenye body ya station wagon
utadhani kiatuHuyo ni ndugu yake Porte
View attachment 1504290
Mkuu acha kufananisha mkate na vitu vya ajabu π‘Hahaha, gari utafikiri Mkate
Huu uzi ukiuchunguza kwa kina utagundua wachangiaji wengi ni wapanda daladala, bodaboda na wale wachache wanaomiliki magari ya urithi.
Wale wenzangu na mimi waliojipinda na kununua hizo passo, suzuki, funcargo, nk. wametulia kimya huku wakishangaa nini hasa lengo la huu uzi! ni kejeli tu, kujimwambafai, sizitaki mbichi hizi, au!!!
Mbona ulizotuma milango minne ya miwili hauna
We una lipiShost yangu job anacho ki porte basi kakosa parking, analalamika atapark wapi nikamwambia si ukipakatee uende nacho ofisini, kaninunia hadi leo
[emoji23][emoji23] Sasa mkuu kama unatembelea passo j3 hadi Ijumaa.. hii ndo level yako halisi.., hayo mambo ya montero unalazimisha tu... usi force mamboNina Gari SUV nzuri, Montero intetcooler, Ila wachache Sana wanaifaham , naitumia nikitoka mkoani au nikiwa na watoto!
But J3 to Ijumaa nikiwa na michakati ya utafutaji Nina passo; wanaoyasema haya magari Ni Wenye uwezo wa Kuwa na Gari moja; Ni umaskini unawasumbua.
[emoji23][emoji23] Sasa mkuu kama unatembelea passo j3 hadi Ijumaa.. hii ndo level yako halisi.., hayo mambo ya montero unalazimisha tu... usi force mambo
Skonzi mkuuSasa hii si nusu mkate hii
Hahaaaa wenye skonzi utawajua tu,ukali kama wote ( joking)Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?
Unatema kupitia wapi?Kikojoleo au makalioni?
Mnadharau usafiri wa wenzenu kwanini?Ninalo hapa mpaka nimejisikia vibaya mno!!!
Be serious dude!!!
Yaani huu uzi unatuondolea stress tu, waweza kuta hata phonex mtu hana halafu ana kashifu porteNimecheka sanaaa
Ukiona ukaripio ujuee washa kuja mkuuHahahahaaaaaaa,nimejitahidi kuwatetea wenye vi-baby walker lakini bado ngumi za uso zinarushwa tu!!
Wenye vi-baby walker njooni huku mnadadavuliwa huku uwanjani kwenu.Msijifanye hamuuoni uzi.
Tusipotoshane!!!Hahahahaaaaaaa!!!!
Duh kama 3cry vileeeWaswahili bhana! kisa tu tugari hatuna makalio,Ni sawa na shepu hizi.View attachment 1504470
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£Kuna hiki kingine kinaitwa iQ yani kuna jamaa anacho huwa anakipaki kwenye corrido ni kidogo mno mkokoteni ni mkubwa
π π π πImekaa kama ndula ya mtoto
π€£π€£π€£π€£Tena amevimba kabisa na kitambi π€£π€£π€£ππ