Inaitwa suzuki altoππHabarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah
Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.
Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.
Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:
Advanced bajaji
Tatizo TRA hawana huruma. Wanachanja kodi bila hurumaMkuu miliki hivyo hivyo mradi jua na mvua havikupati
Achana nao mara nyingi hayo huwa ni maneno ya maskini wakutupwa ambao hawana hata kadi za beki na kama zipo basi ziliishia kutoa boom.Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?
Unatema kupitia wapi?Kikojoleo au makalioni?
Mnadharau usafiri wa wenzenu kwanini?Ninalo hapa mpaka nimejisikia vibaya mno!!!
Be serious dude!!!
... unakuta zee zima limejaza familia yote humo kwenda kula krismasi Moshi! Dah!Huyo ni ndugu yake Porte
View attachment 1504290
Kumbe hujawahi kumiliki gari kaka hata la economic classπ€£π€£π€£Habarini Wakuu,
Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah
Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.
Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.
Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:
π€£π€£π€£Duuh, hilo umesema wewe [emoji15]
Ukistaajabu ya Porte utakuwa hujakumbana na Passo short chasis. Juzi kati kamenipita ka passo milango miwili nilijikuta natema chini
Sijui kama bado atakuwa anafanya kazi Toyota. Mimi ningekuwa CEO wa Toyota ningemfire .Hilo no.1 aliyelitengeneza naye basi tu alitaka aonekane kabuni kigari cha tofauti.
Gari kama toaster oven.Hahaha, gari utafikiri Mkate
Haka kidogo ni kazuri ukilinganisha na ile ya kwanza khaa.