Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Hizi gari hapana, nitabadilishana na Bodaboda

Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

Inaitwa suzuki alto😀😀
 
Unatema chini nini?Mkojo,manii,mate au tonge la ugali na mchicha?

Unatema kupitia wapi?Kikojoleo au makalioni?

Mnadharau usafiri wa wenzenu kwanini?Ninalo hapa mpaka nimejisikia vibaya mno!!!

Be serious dude!!!
Achana nao mara nyingi hayo huwa ni maneno ya maskini wakutupwa ambao hawana hata kadi za beki na kama zipo basi ziliishia kutoa boom.
 
Uso kwa uso na Twingo😀😀
FB_IMG_1673854369665~2.jpg
 
Habarini Wakuu,

Tangu mwaka wa 2018 June nilikuwa nikihitaji at least kupata usafiri binafsi. Katika mchakato wa kuwashirikisha wajuzi zaidi wa magari na madalali baadhi wamekuwa wakisuggest aina za magari ambayo zilikuwa zinanichekesha sana Wallah

Kuna aina za magari binafsi naona zina muundo mbaya (body structure) hasa kwa Wanaume.

Ikitokea nikapewa zawadi ya magari hayo nitabadilishana na mtu mwenye pikipiki BOXER muda huohuo kabla ya Masaa 6.

Gari hizo ni Porte, Nadia na aina flan ya Suzuki:

Kumbe hujawahi kumiliki gari kaka hata la economic class🤣🤣🤣
 
Watu mna dharau sana asee, mtu kadunduliza kanunua combo chake mnasema sio gari kweli? Acheni madharau...
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anataka nunua gari, akaja na Probox, nikamwambia kama unataka tuendelee na undugu wetu na kuheshimiana naomba uachane na huu upuuzi wako.

Hiki kidude utaenda paki wapi na ushuke useme nimeshuka kwenye gari.
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anataka nunua gari, akaja na Toyota Porte (Me huwa naziita Hotpot) nikamwambia kama unataka tuendelee na undugu wetu na kuheshimiana naomba uachane na huu upuuzi wako.

Hiki kidude utaenda paki wapi na ushuke useme nimeshuka kwenye gari.
 
Back
Top Bottom