Komaa nayo tu.Kuna siku kadhaa namtokea manzi fulani lakini kazuzuka na jamaa wa ki-baby walker.Nilikuwa naenda kwa mguu na kuzuga maeneo hayo kaniona fala.
Nilimtokea kitu cha mjerumani kila mara maeneo hayo kama vile sina stori naye.Kaingia kingi na kushoboka nikaenda kumla kama x 2 hivi nikapiga chini.
Kila siku simu simu,sms sms mimi wala sijali.Mwishowe nikamwambia aendelee na jamaa wa vi-baby walker.Na tunaonana kila mara na wamerudiana na fala mwenzake.
Sitakagi ujinga mimi.
Mademu wengine wajinga sana kwa kushoboka shoboka bila kujiuliza.
Wamaume msiweke kambi za kifala,utazunguka bucha zote lakini nyama ni zile zile!!!!
Tusipotoshane,ukimwi bado u