Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
- Thread starter
- #21
Pamoja sana mkuu.Watanzania wengi hatununui gari tunazozipenda ila tunazoweza kumudu bei zake.
Ahsante kwa ushauri mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana mkuu.Watanzania wengi hatununui gari tunazozipenda ila tunazoweza kumudu bei zake.
Ahsante kwa ushauri mzuri.
Haya matukio wanaume tumeyapitia sn. Tusidanganyane. Huu ndo ukweli. Hongera mkuu kwa kufunguka.Hio gari nzuri kweli...nimeeindesha sana, ipo economical na nafasi ya kutosha ndani. Pia nmegongea mademu kadhaa humo ndani. Inafaa kwa matumizi ya familia isitoshe i think its better looking than Noah/ Voxy!
Infact hii gari haina mvuto ukiiona mara ya kwanza. Af haipendezi ikijazwa jazwa maurembo sijui ma bumper kila upande inakuwa kama boti sijui linaboa.Isis sipendi taa zake za Mbele zilivyo kaa