milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Wa CCM????Ni Idd Kassim Idd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa CCM????Ni Idd Kassim Idd
Mbona mkuu nimesema wazi kuwa Barabara ni mbovu au niandike kwa kimombo?Huko kuna shida tena kubwa mwaka jana kuna gari huwa inakipindia sppend isiyo ya kawaida coster hiyo inaitwa mkono inaongoza kwa kupata ajri na kugonga watu na kuua .
kuhusu malalamishi ya mtoa mada nikweli gari zimechoka sana hasa siti lkn barabara pia ni mbaya sana njia nzuri ni geita to msalala karumwa. Barabara hiyo ndo nzuri japo ni ya vumbi.
Binafsi niliwahi panda nikitokea bugarama kwenda geita ilikuwa majira ya 12 jioni hadi tunafika nyakumbu geita saa5 kasoro.
tumeenda hadi nyarugusu tumeenda kabisa mbele kuna kijij kama kuna njia panda vile tunaambiwa njia haipitiki kule hivo inatubidi turudi tena sijui kuna sehemu inaitwa nyakagwe karibu na geita asee njia ilikuwa mbovu sana na gari nalo bovu siti zimeng'oka halitamaniki aswee kuna sehemu watu wanateseka sana.
cha kushangaza kakola inamgodi mkubwa tu wa dhdhabu pale bukoli kwa mbele kuna mgodi mdogo nao tulikuta watu kibao pale wakifanya shughuli za uchimbaji ukienda hapo nyarugusu ni machimbo ya miaka na miaka lkn barabara ni mbovu ajabu geita ni bonge la mgodi. serkali jaribuni kuangalia eneo hilo. Uchuymi upo vizuri sana anga hizo lkn cha ajabu lami ipo geita pekee kakola pale kuna kipande cha lami hakifiki km3 inachekesha sana
Tunaomba toa ushauriwako mkuu.....traffic wafanyeje ? Wazuie lisiende ? Hapo mtaanza kulalamika tena....unakwepa kusema barabara mbovu......
EeeWa CCM????
Uzi ni wa muda kidogo huu kwa sasa wameanza maandalizi ya awali ya kuiwekea lami wanaanzia manzese Kuja kakolaEneo la Hilo lina uchumi mkubwa, haswa kutokana na rasilimali zake, ikiwa ni pamoja na mgodi wa dhahabu wa Bulyankulu.
Mgodi huu unachangia kwa kiasi kikubwa katika uchumi wa taifa,ila eneo Hilo ,hakuna ajira na mapato ni madogo kwa wakazi wengi.
Hata hivyo, licha ya kuwa na rasilimali hizi, bado kuna changamoto nyingi zinazoathiri maendeleo ya jamii.
Kilimo cha mpunga ni moja ya shughuli muhimu katika eneo hili, na wakulima wengi hutegemea zao hili kama chanzo chao cha kipato. Hata hivyo, hali ya barabara ni tatizo kubwa.
Barabara za vumbi zinakwamisha usafiri wa mizigo na watu, hali inayosababisha bidhaa kufika kwa wakati na kwa gharama nafuu. Kutokuwepo kwa barabara zilizowekwa lami kunazuia maendeleo zaidi ya kiuchumi na kijamii.
Kuhusu uongozi, ingawa viongozi wote wa eneo hilo ni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umaskini bado unashamiri. Hii inaweza kuashiria kukosekana kwa mipango madhubuti ya maendeleo na usimamizi mzuri wa rasilimali.
Wananchi wanahitaji kuona matokeo ya rasilimali wanazozalisha, na hii inahitaji juhudi za pamoja za viongozi na jamii ili kuboresha miundombinu na hali ya maisha kwa ujumla.
Kujenga barabara za lami na kuimarisha huduma za kijamii kungeweza kuboresha uchumi wa eneo hilo na kupunguza umaskini, hivyo kusaidia jamii kufikia maendeleo endelevu.
BAada ua lami utaona magari mazuri yakija....Uzi ni wa muda kidogo huu kwa sasa wameanza maandalizi ya awali ya kuiwekea lami wanaanzia manzese Kuja kakola
Picha????Uzi ni wa muda kidogo huu kwa sasa wameanza maandalizi ya awali ya kuiwekea lami wanaanzia manzese Kuja kakola
Picha sina nilikuwa kahama mwezi wa pili niliona mwenyewe mkuu.Picha????
Walianza lini???
Miradi mingi ya barabara imesimama nchi nzima!
Mrafi huo utakamilika lini?
Mkuu kwahiyo sitakiwi kutoa kero zangu? Yaaani wote tuwe wa ndio mzee wakati Kodi nakatwa zaidi ya laki7 kila mwezi hii ni sawa?BAada ua lami utaona magari mazuri yakija....
Na wewe jichange uweke hata coasyer 59mil hapo uwe msafirishaji ...sio mlalamishi ingia ngomani uchezee
Hujanielewa.....nasema jiongeze uwe msafirishahi njia ikiwa nzuriMkuu kwahiyo sitakiwi kutoa kero zangu? Yaaani wote tuwe wa ndio mzee wakati Kodi nakatwa zaidi ya laki7 kila mwezi hii ni sawa?
Kila mtu na malengo yake mimi napenda kilimo na ufugaji nitajikita hukoHujanielewa.....nasema jiongeze uwe msafirishahi njia ikiwa nzuri
asante kiongozi,ni gar gani lina uafadhali kutoka geita to kakola?maana naona wachangiaji wanasema magari ni mabovu na chakavu...ninatarajia kuja huko wiki ijayo6000 mkuu
12000Elf 5
Bedui ipo costa, mengi yapo geita to kahama yanapitia kakola kikubwa ni kwamba huwa haya haribiki njiani ila sit ndo mbovu mimi ni wahukuasante kiongozi,ni gar gani lina uafadhali kutoka geita to kakola?maana naona wachangiaji wanasema magari ni mabovu na chakavu...ninatarajia kuja huko wiki ijayo
Hiyo ni nauli ya Geita hadi Kahama. Geita- kakola ni elf 5- 612000