KERO Hizi gari za Kakola kwenda Kahama na Kakola kwenda Geita hazifai

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mbona mkuu nimesema wazi kuwa Barabara ni mbovu au niandike kwa kimombo?
Tunaomba toa ushauriwako mkuu.....traffic wafanyeje ? Wazuie lisiende ? Hapo mtaanza kulalamika tena....unakwepa kusema barabara mbovu......
 
Uzi ni wa muda kidogo huu kwa sasa wameanza maandalizi ya awali ya kuiwekea lami wanaanzia manzese Kuja kakola
 
BAada ua lami utaona magari mazuri yakija....
Na wewe jichange uweke hata coasyer 59mil hapo uwe msafirishaji ...sio mlalamishi ingia ngomani uchezee
Mkuu kwahiyo sitakiwi kutoa kero zangu? Yaaani wote tuwe wa ndio mzee wakati Kodi nakatwa zaidi ya laki7 kila mwezi hii ni sawa?
 
Nzega coach nmepanda sana hio kwenda Ilogi na Bugarama, gari zile ni Bora ufike mana hata barabara zenyewe ni mbovu .
 
Mkuu unapanda magari gani?monbona kunatataa nzuri tu,au panda nyaunge ferrari pori....
 
asante kiongozi,ni gar gani lina uafadhali kutoka geita to kakola?maana naona wachangiaji wanasema magari ni mabovu na chakavu...ninatarajia kuja huko wiki ijayo
Bedui ipo costa, mengi yapo geita to kahama yanapitia kakola kikubwa ni kwamba huwa haya haribiki njiani ila sit ndo mbovu mimi ni wahuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…