Hizi gari Zina maajabu gani? Mbona bei yake ni kubwa sana

Hizi gari Zina maajabu gani? Mbona bei yake ni kubwa sana

Dr Msweden

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2020
Posts
2,629
Reaction score
9,530
Habari Wana jukwaa?

Katika pita pita be forward nimekutana na hivi vi Suzuki bei yake imenishtuaView attachment 1654569nilikuwa naulizia kuna kipi cha ziada mpka imepelekea kuuzwa bei kubwa? Naona Hadi crown,Subaru ,Benz zimepitwa gharama..
Screenshot_20201219-202841.png
Screenshot_20201219-203333.png
 
Mimi naona magari ya siku hizi wanauza technology tu mara utasikia lane departure assist, sijui collision iliyofanyaje na mambo kama hayo ila gari yenyewe haina maajabu.

Japo pia gari ya 2017 lazima bei yake itakuwa imechangamka
 
Back
Top Bottom