c bora uangalie porn bila wasiwasi! unaangalia wabongo ata kuogo shida!
Duh hivi hakuna jukwaa la watu wazima?acha uji.n.ga, live inaraha yake
Live ina raha wakati unatokwa mijasho? Chenye raha ni kile usichotokwa na jasho hata kidogo...au ndo kula kwa jasho imekuwa pata raha kwa jasho?acha uji.n.ga, live inaraha yake
Mbali na kuwa zinajaa sana siku za sikukuu...kuna kitu nimegundua yani mh dunia hii
Nyingine eti zinamatundu ili kupiga chabo...sasa ngoma iko hivi! Hata kupiga chabo pia unalipia eti sh 500, yani unafika pale unamwona mhusika unatoa jero mzee unapelekwa kwenye tundu...na ukumbuke huku pia kuna foleni kama mnanunua luku vile!
Jamani...nyela nyela nyela, mwe!
na we unaonekana ushawahi kulipa hilo jero
KIKWETE si alisema atatengeneza ajira.
si unajua watu wanaongea kwa ma Expirience
Hahahahaaaa kuna wenye hivyo vipaji...hujawahi ona movie ya Mzee Majuto inayoitwa Mzee wa CHABO?Hahhahhahaa..kazi kweli kweliiii...na pengine kuna watu kweli wanaacha shughuli zao wanaenda kuchungulia nyuchi za wenzao..ujinga kabisaaa aise!
Hahahahaaaa kuna wenye hivyo vipaji...hujawahi ona movie ya Mzee Majuto inayoitwa Mzee wa CHABO?
Du ajira zenyewe ndo hizo? TRA wanapata je chao hapo?
Hiyo cha mtoto ipo maalum kwa chabo tu...inaitwa chabo...jamaa hadi alikuwa anatembea na ngaziSi ndio ile anamchungulia mdada anafua the mkewe anamfuata na kumshika bega yeye anausogeza mkono wa mkewe kama vile kaguswa na jani hivi...
:lol::lol::lol: