s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
Mbali na kuwa zinajaa sana siku za sikukuu...kuna kitu nimegundua yani mh dunia hii
Nyingine eti zinamatundu ili kupiga chabo...sasa ngoma iko hivi! Hata kupiga chabo pia unalipia eti sh 500, yani unafika pale unamwona mhusika unatoa jero mzee unapelekwa kwenye tundu...na ukumbuke huku pia kuna foleni kama mnanunua luku vile!
Jamani...nyela nyela nyela, mwe!
Nyingine eti zinamatundu ili kupiga chabo...sasa ngoma iko hivi! Hata kupiga chabo pia unalipia eti sh 500, yani unafika pale unamwona mhusika unatoa jero mzee unapelekwa kwenye tundu...na ukumbuke huku pia kuna foleni kama mnanunua luku vile!
Jamani...nyela nyela nyela, mwe!