Hizi gharama za kusambaza mabango zinatoka wapi na yana faida gani kwa Watanzania?

Hizi gharama za kusambaza mabango zinatoka wapi na yana faida gani kwa Watanzania?

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Nimejiuliza maswali haya nimekosa majibu, Hivyo nimekuja kwenu wadau mnisaidie.

Ukipita maeneo mengi hususan mijini utakuta mabango yenye picha za kusifu mf. "Ametekeleza maono" "Ameimarisha huduma za umeme" n.k,

Je, mabango haya yanagharamikiwa na chama au serikali?

Je, yanafaida gani kwa wananchi?

Je, ina maana wananchi hawana macho kuona au masikio kusikia na kushuhudia mema hayo? Kwa nini nguvu kubwa namna hii itumike?

Je, Hatuoni wizara ya afya ingetumia mabango hayo kuelimisha umma juu ya magonjwa kama TB, UKIMWI n.k ingekuwa na manufaa zaidi kwa watanzania? Kwanini mabango haya yanawekwa nyakati za usiku pekee tena kwa kujificha?

Je, gharama zilizotumika zisingetosha kutatua changamoto ya barabara Mbinga - Kitete walau kwa changarawe? Hapa ndipo taifa tulipofikia. INASIKITISHA

 
CCM wamewafanya watanzania misukule hawajui kudai haki zao yaani kuanzia msingi ni ndiyo,sekondari ndiyo,vyuo ndiyo hakuna kuuliza maswali
 
Badala ya kurudishia mabango ya anuani ya makazi yaliyotafunwa na mchwa na mengine kujiangukia wao wanatuletea mapicha yasiyo ya maana yoyote barabarani huko
 
CCM wamewafanya watanzania misukule hawajui kudai haki zao yaani kuanzia msingi ni ndiyo,sekondari ndiyo,vyuo ndiyo hakuna kuuliza maswali
Sisi ni misukule tangiapo wala si wametufanya misukule bali ni misukule haswaa!
 
Nimejiuliza maswali haya nimekosa majibu, Hivyo nimekuja kwenu wadau mnisaidie.

Ukipita maeneo mengi hususan mijini utakuta mabango yenye picha za kusifu mf. "Ametekeleza maono" "Ameimarisha huduma za umeme" n.k,

Je, mabango haya yanagharamikiwa na chama au serikali?

Je, yanafaida gani kwa wananchi?

Je, ina maana wananchi hawana macho kuona au masikio kusikia na kushuhudia mema hayo? Kwa nini nguvu kubwa namna hii itumike?

Je, Hatuoni wizara ya afya ingetumia mabango hayo kuelimisha umma juu ya magonjwa kama TB, UKIMWI n.k ingekuwa na manufaa zaidi kwa watanzania? Kwanini mabango haya yanawekwa nyakati za usiku pekee tena kwa kujificha?

Je, gharama zilizotumika zisingetosha kutatua changamoto ya barabara Mbinga - Kitete walau kwa changarawe? Hapa ndipo taifa tulipofikia. INASIKITISHA

View attachment 2569845
Hofu ya Chadema ipo juu.
 
Sasa hivi kila Rais anataka kutukuzwa na kusifiwa . Hayo mabango yanakera Sana.
 
Back
Top Bottom