Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nimetoka huko hali ni mbaya sana .. Moshi umesambaa ... Usalama upo mashakan watu wanakimbia hovyo hovyo ... Hali ni mbaya .. Wanapikia kuni mbichi ... Moshi ni mkali sana inasikitisha kwa kweli !!!