Sawa wapewe heshma but wakina mama c sana kama ilivyo kwa kina dada duhSitaki kuingilia privacy ya mama zangu ila kwa list uloiweka hapo juu nadhani acha tu wawe navyo si unajuwa walivy maua? wanapendeza na kutupa moyo. Nilipo hiyo mikoba inaitwa self contained, wangine wanaiita "nilale wapi"
Jamani nilikumc sna nildhani mpaka nakwenda kulala hujapost hapa ningeandamana husninyo ulikua wapi leo jamani?Umesahau sindano uzi, viatu.
Sisi ndio tunajua umuhimu wake.
Lol!
Begi likiwa kubwa tunabeba na maandazi/mihogo ya kunywea chai ofisini. Lol!
Jamani nilikumc sna nildhani mpaka nakwenda kulala hujapost hapa ningeandamana husninyo ulikua wapi leo jamani?
Jamani husninyo na sindano?zanini tena kwani kunaku2mbuana jipu tena.
Ucjar pole kwa majukumu ya kutwa.nilfkiria sna why kila ukimuona katoka ana handbag nikaona ngja niulize kunani mle?ucku mwema mama cm itazima muda c mrefu.sindano huwa tunashonea vimini vyetu maana sanyingine huwa mipasuo inaongezeka.
Lol!
Halafu zikiwa zimetubana sana huwa zinatatuka pembeni.
Leo umetuamulia!
Mmh!
Miaka ya nyuma nilitoka na dada mmoja alikuwa na begi kubwa sana nikamuuliza umebeba nini akaniambia utaona asubuhi,usiku ule alikuwa amevaa mini sketi na top,chini kavaa highheels.Tukaenda club na baadae kulala kwangu.Asubuhi alipoamka na kuoga nikaona kavaa gauni ni viatu vya chini na kijipamba balaa nikakumbuka maneno yake ya usiku.
Dont forgets condoms....
Kaka samahani naomba unipakatie huu mzigo wanguHalafu ukiwa safari usiombe ukae nao siti moja kwenye basi, wanakuwa na vimzigo vingi vingiiii yaani hata pa kuweka miguu inakuwa shida, shopping njia nzima!
Hii ilisahaulika, lakini si kwa wote.Dont forgets condoms....