Hizi Handbag za kinadada hizi mmmh?

Aisee nyie wanaume hapa mnajadili nini?

waacheni kinamama wajadili vinavyowahusu.

Manake muda si mrefu mtauliza wanabeba always za nini........

Agrrrrrrrrrrr babu amekasirika.
 

Sina la kusema. Ila tu hapo penye red, sijakuelewa (bahati=manufaa=faida), una maana gapi kwa maana halisi ya "bahati"?????????
 
Aisee nyie wanaume hapa mnajadili nini?

waacheni kinamama wajadili vinavyowahusu.

Manake muda si mrefu mtauliza wanabeba always za nini........

Agrrrrrrrrrrr babu amekasirika.

Well said Kaka

Tunaitaga kudandia gari kwa mbele, kunywa :ranger: kupunguza hasira.
 
Well said Kaka

Tunaitaga kudandia gari kwa mbele, kunywa :ranger: kupunguza hasira.

Na nyie kina dada mijadala kama hii inayowahusu mambo yenu binafsi kwanini hamuipotezei?

Mwisho wa siku itaanzishwa sredi hapa kwanini kina mama wanavaa khanga misibani?
 
Wanobeba vipodo vingi hawajiamini binafsi navutia sana lkn niko simple huwezi nikuta na fresh make up saa 10 jioni , kama mrembo sapliment nyingi zinahuuuu
 
Wanobeba vipodo vingi hawajiamini binafsi navutia sana lkn niko simple huwezi nikuta na fresh make up saa 10 jioni , kama mrembo sapliment nyingi zinahuuuu
Thank you carefree kama we ni mzuri ma make up ya nini?aaaaagh
 
umesahau 2 hot pot twenye wali maharage natwo wanaweka mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…