Hizi Handbag za kinadada hizi mmmh?

hivi tunahitaji kulijadiri hili? those are women intuitions waacheni bana.
 
Na nyie kina dada mijadala kama hii inayowahusu mambo yenu binafsi kwanini hamuipotezei?

Mwisho wa siku itaanzishwa sredi hapa kwanini kina mama wanavaa khanga misibani?

Mkuu mbona unatafuta sympath kwao.
Au ni kale ka treak ketu ka kuwang'oa kiulaini?
 
 

Akipata serengeti boys njiani atajipodoaje tena mkuu?
 
Niliwahi ku -do demu baada ya show nikaona kakunja ch**pi yake nikdhani havai tena nini kaamua kwenda free kumbe akazama kwenye limkoba lenye uwezo wakuficha bajaji akatoa pichu mpwa akavaa nikaona hii kiboko kumbe wakienda nazo mbili wa na maana yao maana midune mingine baada yasho utumia pichu hizi kufutia....lol!
 
Kakakìiza pole ungemchunguza ungeziona nyingne duu noma kwel
 
Kakakìiza pole ungemchunguza ungeziona nyingne duu noma kwel
<br />Nilikutana naye kwenye tamasha karimjee jua limemchoma nikamwingiza kwenye kipupwe akasahau shida!Akala nyama ya foil na bia baridi kwakisamo conteiner kwanini namimi asinishukuru kwa njia hiyo??naleo sijui yupo wapi!!ila nitamtafuta anajua kupiga show yaukweli!!wanafunzi noma!
 
Mademu wengine huwa wanabeba vitu hivyo ili akinanihiiiiiiiiiiiiii na mtu mumewe asijue, kwani vitu hivyo humfanya ajipodoe tena kama alivyo toka nyumbani baada ya kukunwa na kidumu chake, hivyo mumewe hataweza kumshitukia kirahisi!!!!!!!1
 
biblia
mswaki
dawa ya meno ie colget etc
faile ya kucha
nailcuter
handlotion
handperfume
pini
uzi na sindano etc etc.

jamani,jamani acha kuzidisha chumvi! Lol...
 



kama wewe ulivyofanya baada ya ku-do!!!!!!
 
Pamoja na LIGHUFULI, moja, mbili.............incase!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…