Hizi hapa fursa 150 za biashara na miradimbali mbali nchini Tanzania

Hizi hapa fursa 150 za biashara na miradimbali mbali nchini Tanzania

ZOPPA

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
2,729
Reaction score
2,891
1. Kununua Mashine za kukoroga
zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata
vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/
Database: Katika Halmashauri,
Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na
televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa
mbalimbali vya electroniki na
mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na
mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus,
Operating Systems, Pastel, Tally,
Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo
mpya; suit, socks, batiki, nguo za
asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali
mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe,
Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza
(supply) vitabu na vifaa mbalimbali
ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa
Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo,
kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na
kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki
zisizotumia mafuta na zinazotumia
mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali
kulingana na hali ya hewa ya
sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza
mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na
chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa
vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya
ujenzi; cement, vifaa vya umeme,
duka la mabati
30. Kutengeneza michoro
mbalimbali ya majumba na miradi
ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi
(Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa
nishati ya jua (solar) ,battery,
inverter na vifaa vingine vya solar
n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na
rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa
lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta,
laptops, converters, HDDs, Monitors,
Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. Kununua magenerator na
kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya
taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule
za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya
DStv, Zuku, Startimes, Easy TV,
TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha
umeme na kuuza katika viwanda na
wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma
ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na
kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza
vyakula katika sherehe na tamasha
mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za
shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu
kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza
bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake,
jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba
pancha za matairi
ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala
wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya
aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za
harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya
kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea
(welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site
(boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya
kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza
vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya
televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba
kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV
Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha
fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha
kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na
gadgets mbalimbali zinazoendana
na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha
kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya
ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za
kusafisha, kutoboa na kuchana
mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa
vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/
matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago,
batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL
MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY
PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia
mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya
kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa
(pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya
"Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari
na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
mfano bakuli, sahani, vikombe,
vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria
kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/
mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za
kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza
mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza
fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza
matairi
130. Kutengeneza vitanda vya
chuma
131. Kununua nyumba katika
Maghorofa (Apartments) na
kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi
za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na
kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha
kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na
Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za
majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo
za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network
marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha.

*Changamkia fursa*
 
Good..!!! Tatizo noti mkuu.

Noti sio tatizo kubwa kama unavyofikiria mkuu. Kuna siku watu waliambiwa waje na wazo la biashara lenye mchanganuo ili wapatiwe fungu, hauwezi kuamini hakikupatikana kitu cha maana. Toka siku hiyo nikajua tatizo kubwa sio mtaji, ni ukosefu wa mawazo thabiti ya biashara.

Nikawaza inamaana kuna watu hata ukimpatia 10M, 5M au hata 20M, hawawezi kuwa na mkakati wa kuzalisha kwa kuwekeza.
 
Noti sio tatizo kubwa kama unavyofikiria mkuu. Kuna siku watu waliambiwa waje na wazo la biashara lenye mchanganuo ili wapatiwe fungu, hauwezi kuamini hakikupatikana kitu cha maana. Toka siku hiyo nikajua tatizo kubwa sio mtaji, ni ukosefu wa mawazo thabiti ya biashara.

Nikawaza inamaana kuna watu hata ukimpatia 10M, 5M au hata 20M, hawawezi kuwa na mkakati wa kuzalisha kwa kuwekeza.
Nakubaliana na wewe mkuu, mfano mzuri ni humu, mtu ana hadi kiasi cha milioni 150 hajui eti afanyie nini, milioni 5, 10, wengine milion 20 wote wanakujaga huku kuomba mawazo ya biashara, basi ungana na mtu mwenye idea nzuri.ya business, hatak analeta uswahili na usanii mwingi
 
Nakubaliana na wewe mkuu, mfano mzuri ni humu, mtu ana hadi kiasi cha milioni 150 hajui eti afanyie nini, milioni 5, 10, wengine milion 20 wote wanakujaga huku kuomba mawazo ya biashara, basi ungana na mtu mwenye idea nzuri.ya business, hatak analeta uswahili na usanii mwingi
Tatzo lenu wenye mawazo ya biashara wengi wenu co waaminifu ndio maana mtu anakaa tu na hela benki hajui afanyie nn mtu anajifanya kukupa idea nyiiiiingi na vocabulary za kutosha mara monitoring cjui controlling mwisho wa cku anakupga!
 
Habari kwa MTU yeyote mwenye interest ya kufuga kuku Nina banda tegeta masaiti nakodisha,banda na vyombo vyangu vya kuku na machine ya kunyonyoa manyoa.mwenye interest ya kufuga kuku anakaribisha kuona.whatssap 0786057996 for pics and details zaidi.
 
Mimi biashara namba 14 imenitoa sana tena nmepga hatua kwa namna moja ama nyingne kiukweli Fursa zipo nying ,Tatzo ni maamuzi watu wengi wanahofu ya kufanya maamuzi
 
1. Kununua Mashine za kukoroga
zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata
vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/
Database: Katika Halmashauri,
Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na
televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa
mbalimbali vya electroniki na
mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na
mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus,
Operating Systems, Pastel, Tally,
Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo
mpya; suit, socks, batiki, nguo za
asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali
mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe,
Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza
(supply) vitabu na vifaa mbalimbali
ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa
Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo,
kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na
kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki
zisizotumia mafuta na zinazotumia
mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali
kulingana na hali ya hewa ya
sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza
mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na
chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa
vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya
ujenzi; cement, vifaa vya umeme,
duka la mabati
30. Kutengeneza michoro
mbalimbali ya majumba na miradi
ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi
(Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa
nishati ya jua (solar) ,battery,
inverter na vifaa vingine vya solar
n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na
rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa
lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta,
laptops, converters, HDDs, Monitors,
Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. Kununua magenerator na
kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya
taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule
za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya
DStv, Zuku, Startimes, Easy TV,
TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha
umeme na kuuza katika viwanda na
wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma
ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na
kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza
vyakula katika sherehe na tamasha
mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za
shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu
kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza
bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake,
jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba
pancha za matairi
ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala
wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya
aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za
harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya
kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea
(welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site
(boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya
kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza
vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya
televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba
kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV
Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha
fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha
kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na
gadgets mbalimbali zinazoendana
na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha
kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya
ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za
kusafisha, kutoboa na kuchana
mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa
vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/
matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago,
batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL
MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY
PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia
mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya
kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa
(pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya
"Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari
na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
mfano bakuli, sahani, vikombe,
vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria
kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/
mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za
kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza
mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza
fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza
matairi
130. Kutengeneza vitanda vya
chuma
131. Kununua nyumba katika
Maghorofa (Apartments) na
kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi
za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na
kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha
kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na
Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za
majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo
za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network
marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha.

*Changamkia fursa*
Vizur mkuu
 
Vizuri, ila kuna zingine hazitekelezeki kiurahisi, mfano hiyo namba 126 hata serikali yetu haiwezi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
1. Kununua Mashine za kukoroga
zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata
vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/
Database: Katika Halmashauri,
Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na
televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa
mbalimbali vya electroniki na
mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na
mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus,
Operating Systems, Pastel, Tally,
Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo
mpya; suit, socks, batiki, nguo za
asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali
mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe,
Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza
(supply) vitabu na vifaa mbalimbali
ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa
Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo,
kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na
kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki
zisizotumia mafuta na zinazotumia
mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali
kulingana na hali ya hewa ya
sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza
mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na
chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa
vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya
ujenzi; cement, vifaa vya umeme,
duka la mabati
30. Kutengeneza michoro
mbalimbali ya majumba na miradi
ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi
(Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa
nishati ya jua (solar) ,battery,
inverter na vifaa vingine vya solar
n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na
rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa
lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta,
laptops, converters, HDDs, Monitors,
Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. Kununua magenerator na
kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya
taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule
za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya
DStv, Zuku, Startimes, Easy TV,
TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha
umeme na kuuza katika viwanda na
wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma
ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na
kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza
vyakula katika sherehe na tamasha
mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za
shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu
kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza
bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake,
jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba
pancha za matairi
ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala
wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya
aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za
harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya
kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea
(welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site
(boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya
kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza
vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya
televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba
kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV
Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha
fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha
kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na
gadgets mbalimbali zinazoendana
na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha
kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya
ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za
kusafisha, kutoboa na kuchana
mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa
vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/
matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago,
batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL
MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY
PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia
mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya
kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa
(pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya
"Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari
na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
mfano bakuli, sahani, vikombe,
vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria
kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/
mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za
kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza
mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza
fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza
matairi
130. Kutengeneza vitanda vya
chuma
131. Kununua nyumba katika
Maghorofa (Apartments) na
kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi
za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na
kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha
kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na
Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za
majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo
za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network
marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha.

*Changamkia fursa*
Umetekeleza wajibu wako iliyobakia ni sie
 
Back
Top Bottom