1. Maneno haya yana maana yoyote kwako?
" .. for the implementation in good faith of all relevant Security Council resolutions by all parties concerned, ..."
2. Yakiwa na umuhimu wowote, haya hapa je?
View attachment 2885985
3. Hadi hapo bado huuoni msimamo wa huyo jaji kuwahusu hao wajomba zako?
Helicopter ya jeshi la Israel ilichakaza raia wake wengi tu siku ya tukioYule alievamia wenzake Oct 7 na kuuwa raia Zaidi ya 1400 wakiwemo clemency na Joshua ana roho ya ibilisi
Hiyo UN kwanza imetuhumiwa kuajiri magaidi wa dini.... Sasa hivi funds zimeanza kukatwa.
Ninachokijua ni kwamba wayahudi wana huruma sana, pale Gaza 90% ya wakazi wake wanafungamana na hamas. Hivyo kwa kilichotokea 7/10 kama angekuwa amefanyiwa Russia huenda tungesha sahau habari za Gaza.Acheni kujificha nyuma ya vitoto, vinafyekwa vyote tu.
Huu ni uongo.Helicopter ya jeshi la Israel ilichakaza raia wake wengi tu siku ya tukio
Ninachokijua ni kwamba wayahudi wana huruma sana, pale Gaza 90% ya wakazi wake wanafungamana na hamas. Hivyo kwa kilichotokea 7/10 kama angekuwa amefanyiwa Russia huenda tungesha sahau habari za Gaza.
UN ilikosea kuajiri mazombi ya dini yenu, nayo yalihusika kuchinja Wayahudi.
Mpaka sasa mataifa mengi yakiwemo Japan yamekata misaada.
Wewe lazima utakuwa mungikiAcheni kujificha nyuma ya vitoto, vinafyekwa vyote tu.
Nafikiri wewe inawezekana umezaliwa juzi, historia ya miaka 70 ya eneo hilo hujui kabisa.Shida moja watu hawataki kuona ukweli kuwa Hamas walianzisha uchokozi wenyewe ile oct 7, 2023, wengi wanaangalia tu matukio baada ya uchokozi.
Jaribu kufikiri kama mtu anayeuelewa ukweli kuwa ile vita ni suburban warfare, na si frontal confrontation.Kwa hiyo magaidi yanaenda kuichokoza Israel yenyewe halafu wanawatumia watoto kutafuta dunia iwatete kuwa vifo vya watoto vinafanyika
Hilo eneo lina historia iliyoandikwa ya zaidi ya miaka 3000. Kuna umuhimu wa kuvumiliana kwenye lugha tunazotumiaNafikiri wewe inawezekana umezaliwa juzi, historia ya miaka 70 ya eneo hilo hujui kabisa.
Hilo eneo lina historia iliyoandikwa ya zaidi ya miaka 3000. Kuna umuhimu wa kuvumiliana kwenye lugha tunazotumia