Anderson Shimb
Senior Member
- Dec 23, 2013
- 169
- 26
Kuna Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya Ustawi wa Jamii.
swali langu kwenu nyinyi wachambuzi nomba mnisaidie kutofautisha Idara hizi pamoja na sheria za kutumia wakati wa kutekeleza majukumu yao.
swali langu kwenu nyinyi wachambuzi nomba mnisaidie kutofautisha Idara hizi pamoja na sheria za kutumia wakati wa kutekeleza majukumu yao.