United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Jana zimetoka wauzaji wa jumla wote kariakoo wamemaliza zimebaki Kwa wauzaji wa rejareja ambapo huwezi pata chini ya 40 tu 45 wanauza 35 nao washamaliza kazi ipo
Kwa ushauri tu kama unataka jezi ya yanga jitaidi uwe na 40 to 45 unaweza kupata
Kwa ushauri tu kama unataka jezi ya yanga jitaidi uwe na 40 to 45 unaweza kupata