Hizi kadi nyekundu zinazofutwa ni kielelezo cha jinsi hawa jamaa wanavyobebwa

Hizi kadi nyekundu zinazofutwa ni kielelezo cha jinsi hawa jamaa wanavyobebwa

Tayari wana Pointi 6 za dhuluma.
Pointi 3 waliwapoka Kagera Sugar baada ya goli la Kagera kukataliwa kiubabe.

Pointi 3 wamezipata kwa Coast kupunguzwa na kadi nyekundu kuwadhoofisha ili Uto washinde.

Ligi yetu pia imeshuka ubora Barani Afrika kutokana na matukio kama haya.
Nyie mmenyukwa nje ndani goli 7 na points 6 mchango tusemeje?
 
Tayari wana Pointi 6 za dhuluma.
Pointi 3 waliwapoka Kagera Sugar baada ya goli la Kagera kukataliwa kiubabe.

Pointi 3 wamezipata kwa Coast kupunguzwa na kadi nyekundu kuwadhoofisha ili Uto washinde.

Ligi yetu pia imeshuka ubora Barani Afrika kutokana na matukio kama haya.
Ongezea na Kadi nyekundu ya Prisons. Wasingeishia kufuta Kadi Bali pia wangeadhibu hao waamuzi wanaotoa Kadi kwa mipango.
 
Siku kukiwa na mkutano wa chama tawala nenda kama utaweza kutofautisha rangi na kusanyiko lile la mabango fc.
 
Ongezea na Kadi nyekundu ya Prisons. Wasingeishia kufuta Kadi Bali pia wangeadhibu hao waamuzi wanaotoa Kadi kwa mipango.
Kwenye mpira wa miguu sio kucheza na wachezaji pungufu ndio guarantee ya kushinda mchezo. Simba ilicheza na Mashujaa waliokuwa pungufu tokea first half lakini wameshindwa kumfunga.
 
Usisahau hata Chama amefungiwa means refa angekuwa makini siku ile angepewa direct red-card, Kwa maana hiyo tuamini kwamba zile tano ,ilitakiwa kujirudia???
Think beyond our brother, football is more than feelings and passion
 
Tayari wana Pointi 6 za dhuluma.

Pointi 3 waliwapoka Kagera Sugar baada ya goli la Kagera kukataliwa kiubabe.

Pointi 3 wamezipata kwa Coast kupunguzwa na kadi nyekundu kuwadhoofisha ili Uto washinde.

Ligi yetu pia imeshuka ubora Barani Afrika kutokana na matukio kama haya.
Kama timu kupewa redcard ndio advantage ya ushindi basi wewe Nyau usingetolewa na Mashujaa kwa mchezaji wao kupewa umeme kipindi cha kwanza bila kusahau match ya Prisons walipata umeme lakini bado makafungwa.

NB: Sajili timu ya ushindani achaneni na mbambamba.
 
Kama tulivyobebwa kwenye kukupiga Kono la Nyani na zile bao mbili za kizee
Ushamba huo..hujaacha tuu? Yani ili mfikie rekodi yetu ya kuwalamba magoli 6 ambayo hamjaivunja mpk leo mmeona muunganisha mpate 7. ....
Msimu huuu bila kubebwa hz mechi tatu mngekua ICU....aibu
 
Ushamba huo..hujaacha tuu? Yani ili mfikie rekodi yetu ya kuwalamba magoli 6 ambayo hamjaivunja mpk leo mmeona muunganisha mpate 7. ....
Msimu huuu bila kubebwa hz mechi tatu mngekua ICU....aibu
Wakati mwingine uone aibu, ushabiki unakutoa akili.
 
Ongezea na Kadi nyekundu ya Prisons. Wasingeishia kufuta Kadi Bali pia wangeadhibu hao waamuzi wanaotoa Kadi kwa mipango.
Mechi vs prison
Yanga ndo wakwanza kupewa kadi na wakati prison anapewa kadi tayari yanga anaongoza na zilikua dakika za jion

Ila walichofanikiwa viongozi wa simba ni kuwaaminisha mashabiki wa Simba kwamba kufeli kwao ni yanga kubebwa
 
Mechi vs prison
Yanga ndo wakwanza kupewa kadi na wakati prison anapewa kadi tayari yanga anaongoza na zilikua dakika za jion

Ila walichofanikiwa viongozi wa simba ni kuwaaminisha mashabiki wa Simba kwamba kufeli kwao ni yanga kubebwa
Nazungumzia Kadi mchongo.
 
Back
Top Bottom