Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Dah lakini hizi mimba hua zinatunyosha
unakuta mwanamke wako ana mimba, na mmeshinda poa 2 mchana mzima, ikifika usiku kitu ka saa sita ivi anakuamsha,
"beb nipeleke petrol station niende kunusa petroli"
*mke wangu kwani unazaa Boda boda????*[emoji102] [emoji102] [emoji102]
unakuta mwanamke wako ana mimba, na mmeshinda poa 2 mchana mzima, ikifika usiku kitu ka saa sita ivi anakuamsha,
"beb nipeleke petrol station niende kunusa petroli"
*mke wangu kwani unazaa Boda boda????*[emoji102] [emoji102] [emoji102]