Hizi mvua Dar vipi jamani?

Hizi mvua Dar vipi jamani?

Bora umsaidie kujua hilo[emoji848].Kwani anaweza kugeuzwa shamba la kuvuna akijua ni wale wale[emoji23]
Wahuni sana wale wanataka pombe na pesa kwao kupigwa mabusu sio hawataki kabisa

USSR
 
Nimekaa Kasudeco kasulu hapa hamna mvua...😂
Nipo na vijana wangu tunaendeaha mashindano ya mbio za ngologojo 😅😅😅.. dar wamepata wapi ujuzi wa kuiba mvua yetu
Gallery.jpg
 
Alafu simlisema kwamba yule baba alikata miti milioni nyingi na mvua haitonyesha...🤔 Na nimeona hadi mama ameamua kukatisha hotuba chap kwaajili ya mvua...😜
 
Ukiwa unakula papuchi na hii mvua utamu wake haupimiki, acha inyeshe tu tuendelee kupewa viuno.
 
Haka kamvua saiz ningekuwa nishakimbilia kumzagamula mtu , ila sasa hivi nimekuwa mvivu sana akili ipo kwenye namna ya kuzisaka hela- the more they come is the more am addicted kuzisaka zaidi.
😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom