Hizi ndege zinazotengenezwa Tanzania zinauzwa bei gani?

Hizi ndege zinazotengenezwa Tanzania zinauzwa bei gani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?

1728748442540.jpeg

1728748576150.jpeg

1728748625962.jpeg

1728748665232.jpeg
 
Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?

View attachment 3122821
View attachment 3122822
View attachment 3122825
View attachment 3122828
natamani zingetengenezwa bila kuwepo mzungu. hata hivyo, tunanunua uzoefu, tutajifunza toka kwao. ndege hizi kama ni effective, zitasaidia sana ndani ya nchi.
 
Matumizi ya hizi ndege ni nini? Zinabeba watu wangapi?
Watu wawili. Hasa kwa ajili ya mafunzo. Dharura, tafiti nk. Pia wanampango wa kuunda za twin engines ambazo zitakuwa kubwa kidogo.
 
Back
Top Bottom