Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hongera Tanzania.Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?
View attachment 3122821
View attachment 3122822
View attachment 3122825
View attachment 3122828
Sio bei kuubwa kivile.Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?
View attachment 3122821
View attachment 3122822
View attachment 3122825
View attachment 3122828
Mpaka hawa viongozi mamluki wakwende zao ili kije kizazi kinachojitambuaHawa sasa ndio wa kuitwa ikulu na bungeni sio unawaita kina dotto magari na the like..!
natamani zingetengenezwa bila kuwepo mzungu. hata hivyo, tunanunua uzoefu, tutajifunza toka kwao. ndege hizi kama ni effective, zitasaidia sana ndani ya nchi.Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?
View attachment 3122821
View attachment 3122822
View attachment 3122825
View attachment 3122828
mzungu unamkwepa vipi mtu mweusi?natamani zingetengenezwa bila kuwepo mzungu. hata hivyo, tunanunua uzoefu, tutajifunza toka kwao. ndege hizi kama ni effective, zitasaidia sana ndani ya nchi.
Matumizi ya hizi ndege ni nini? Zinabeba watu wangapi?Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?
View attachment 3122821
View attachment 3122822
View attachment 3122825
View attachment 3122828
Ndege za maana kabisa hizo. Kitakwimu hizo ni salama kuliko kutembea na gari. Zinaweza saidia sana wakati wa dharura kama kupeleka madawa na wataalamu. Kujifunza urubani. Search and rescue na mambo mengine kibao.hizi nazo ndege au ushubwada.hata bure sipandi
Watu wawili. Hasa kwa ajili ya mafunzo. Dharura, tafiti nk. Pia wanampango wa kuunda za twin engines ambazo zitakuwa kubwa kidogo.Matumizi ya hizi ndege ni nini? Zinabeba watu wangapi?
Ahaa! Wameona fursa.Watu wawili. Hasa kwa ajili ya mafunzo. Dharura, tafiti nk. Pia wanampango wa kuunda za twin engines ambazo zitakuwa kubwa kidogo.
hizi nazo ndege au ushubwada.hata bure sipandi