samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Hizi ndio ajira zisizotaka akili wala nguvu nyingi,ni kwa kiasi kidogo tu cha mtaji waweza kuanza na ikakulipa mara 5 ya mtaji unaowekeza na kila siku unapata pesa nyingi zisizo na ushindani wala jasho. Unaweza kuwa na mtaji wa 10,000 - 50,000. na ukaianzisha biashara yako.
1.Udalali wa nyumba,viwanja,vyumba na hata magari.
2.Fundi viatu
3.Dobi.
4.Kuuza bidhaa ndogo ndogo stendi.
5.Kuuza matunda kwenye mikusanyiko ya watu.
6.Kutembeza matunda.(wakina mama wengi wanaifanya hii)
7.Upigaji Debe kwenye stendi za mikoa.(kama ubungo au kule Nyegezi Mwanza)
Hizo kazi/biashara zinalipa sana na tena mitaji yake ni midogo na nyingine hazina mtaji ni uchangamfu wako tu.
Haya ongezea na wewe au toa maoni yako.
1.Udalali wa nyumba,viwanja,vyumba na hata magari.
2.Fundi viatu
3.Dobi.
4.Kuuza bidhaa ndogo ndogo stendi.
5.Kuuza matunda kwenye mikusanyiko ya watu.
6.Kutembeza matunda.(wakina mama wengi wanaifanya hii)
7.Upigaji Debe kwenye stendi za mikoa.(kama ubungo au kule Nyegezi Mwanza)
Hizo kazi/biashara zinalipa sana na tena mitaji yake ni midogo na nyingine hazina mtaji ni uchangamfu wako tu.
Haya ongezea na wewe au toa maoni yako.