Hizi ndio barua za mandela alimwandikia winnie akiwa jela

Hizi ndio barua za mandela alimwandikia winnie akiwa jela

Nilitamani niiweke siasani lakini moderators wana mtindo wa kuhamisha uza zangu;
ndo maana nikaja huku nyumbani.

Niulizie chama kama anaweza kuniandikia barua kama hiyo
naye simwoni hapa nyumbani yapata miaka sasa;

hii habari ni ya kumbukumbu muhimu, sijui kwa nini mama ameiweka hapa cc.
 
Last edited by a moderator:
Salamu sana wana CC wote,

Nilisikia hii kitu BBC, nimeitafuta nimepata moja;
Naomba wale wenye barua nyingine waziweke hapa;

Kweli Mzee Mandela alikuwa na mapenzi ya ajabu.

-------------------------------------------------
From a letter dated Oct. 26, 1976:
My dearest Winnie,
I have been fairly successful in putting on a mask behind which I have pined for the family, alone, never rushing for the post when it comes until somebody calls out my name. I also never linger after visits although sometimes the urge to do so becomes quite terrible. I am struggling to suppress my emotions as I write this letter.

I have received only one letter since you were detained, that one dated August 22. I do not know anything about family affairs, such as payment of rent, telephone bills, care of children and their expenses, whether you will get a job when released. As long as I don't hear from you, I will remain worried and dry like a desert.

I recall the Karoo I crossed on several occasions. I saw the desert again in Botswana on my way to and from Africa--endless pits of sand and not a drop of water. I have not had a letter from you. I feel dry like a desert.

Letters from you and the family are like the arrival of summer rains and spring that liven my life and make it enjoyable.

Whenever I write you, I feel that inside physical warmth, that makes me forget all my problems. I become full of love.


Kimsingi Winnie amechangia sana kwenye Uhuru was Africa kusini
 
Nakubaliana na wewe;
Na siku winnie ajitoe akili na ujasiri wake agombe urais
matokeo tutayaona hapa hapa.
Kimsingi Winnie amechangia sana kwenye Uhuru was Africa kusini
 
Hata mzee hakujua thamani ya penzi la winnie?

Swali halijibiwi kwa swali !
Nway Madiba alijua thamani ya Jewellers (Winnie) na ndy maana alifanya hayo! Kuthamini Kito chake!
Unfortunate aina ya Ndege Babu aliyedhani yu'katika category ya "domesticated birds" kumbe hakua miongoni mwa Ndege wafugwao !
Kwaheri .
 
Nilitamani niiweke siasani lakini moderators wana mtindo wa kuhamisha uza zangu;
ndo maana nikaja huku nyumbani.

Niulizie chama kama anaweza kuniandikia barua kama hiyo
naye simwoni hapa nyumbani yapata miaka sasa;
Mamndenyi
Kuandika tu? Ukiutaka Moyo wangu nauchomoa tu kama kufa acha nife
 
Last edited by a moderator:
2014 nilikuwa na akili akili kidogo. Miaka imekwenda wapi Mamndenyi ?

Rest in Paradise Winner Mandela.
 
Mwanadamu ni tofauti kidogo na mvinyo, kadri unavyodhidi kuwa na umri mkubwa ndivyo unavyodhidi kuwa na akili za kitoto.
2014 nilikuwa na akili akili kidogo. Miaka imekwenda wapi Mamndenyi ?

Rest in Paradise Winner Mandela.
 
Tusiojua kingreza unapofika wakati kama huu huwa tunafadheheka sana unaanza kusoma chini ukipandisha juu ukiona hupati kitu unaanza kusoma kulia kwenda kushoto mwishowe unatafuta Neno moja moja kutafuta ambalo unaweza ukaliotea
 
Heeeeeh barua ilikua na maneno makali mnooh, RIP Madiba
 
Back
Top Bottom