HIVI unaujua Uislam au unaongea hivi unajua kama Qur'an imegusia hizo dini za kuabudu mungu wa jicho moja ? (Wakati nyie mkiita Freemason, iluminati na bla bla) katika Qur'an kiongozi wa hao wote anaitwa kwa jina la Masih dajjal ambae ina jicho moja tu, huyu na wafuasi wake ndo watakaokuja kupigana tena na Nabii Issa atakaporudi, na hapo ndo utakuwa mwisho wa dunia, hawa Wafuasi wa Massih DAJAL (freemason na Illumati) watakuja kuwa na nguvu mno, Qur'an imeelezea yalopita, yaliopo na yajao bila shaka, wakati nyie mmekuja ijua miaka ya hivi karibuni hii dini tayari Qur'an ilishaelezea na tukapewa na dua ya kujikinga na hawa Masih dajal na nembo yao ni mtu mwenye jicho moja, ambae pia kwenye Qur'an ameelezewa, acha kudanganay kama wanakimbilia kwenye uislam sabab hamna sadaka, wanakimbilia huko sabab ndo sehem pekee salama, wale wafuasi wanawajua, wafuasi wenzao mapapa na mapadre wanakutana kwenye mikutano halaf atakimbiliaje kwa wafuasi hao hao, Michael Jackson anaenda kanisani anamkuta padre wake, akirudi kule kwenye dini zao anamkuta, unadhani akitaka kujitoa atakimbilia kanisani tena?? tafakari sikilia ile documentary vizuri na jinsi dada yake Michael Jackson alivyokkuwa akijibu kwamba Michael aliona sehemu salama ni uislam pekee na si yeye tu, wote wanaojitoa huko ukimbilia kwenye uislam, tafakari.