proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] jaman mbavu zanguUje ulete na uzi wa hizi IDs zenye Avatars za ajabu ajabu...
Kuna ka jamaa kale kila uzi ka kwanza kureply kanaitwa JOSEVEREST kana avatar ya dogo mmoja ana sura kama kabemendwa vile hahahaaaaa... Huwa nacheka sana kila nikikaona...
Kuna jamaa ka kuandika ukoRoho Mbaya
Mfitinishaji
Natokea Kanda Maalum
Ila kweli kila mtu atoe maana ya id yakeNa hayo majina lazima yana maana yake waje watuambie
Inawezekana sio za jinsia yako Jovitha![emoji41] [emoji41] hata km nataka nimpate kwanza fundi chup
Lady jay. Inawezekana kwa lugha yao sio tusi. Jina Ndikumana ukilisema kwa kabila Fulani ni tusi. Kisukuma neno Inyo ni tusi lakini wengine sio tusiHahaha hivi watu wanawazaga nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana mkuuNimepaliwa na Maji Mkuu..Yaani dah!!
Avatar yako kibokoTaja na ambao wanaweka avatar za ajab
Imefanyaje?Avatar yako kiboko
Hivyo hivyoInawezekana sio za jinsia yako Jovitha!
Kweli kabisa mkuu maana sio kwa hayo majina yao.wana Kichwa Kichafu, hahahah
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na wao wanawashangaa nyie hasa kama wewe jina lako
Teh teh teh mkuu wanafurahisha sana.kichwa kichafu watawazaje vitu vizur?
Naam mkuuKichwa kichafu
The choosen One mkuu nipo hapa.Kichwa kichafu