HIZI NDIO JEZI ZA SINGIDA BLACK STARS
“Hizi ndio aina ya jezi watakazotumia Singida Black Stars Fc zamani Ihefu fc kwa msimu huu wa ligi ya NBC Singida Black star wazamini wao wakuu ni kampuni ya Haier”
Neno Moja kwa Mbunifu wa jezi hizi[emoji116][emoji3578]View attachment 2952901
AahaaaaKama za utopolo
Ni sheria ngowi??HIZI NDIO JEZI ZA SINGIDA BLACK STARS
“Hizi ndio aina ya jezi watakazotumia Singida Black Stars Fc zamani Ihefu fc kwa msimu huu wa ligi ya NBC Singida Black star wazamini wao wakuu ni kampuni ya Haier”
Neno Moja kwa Mbunifu wa jezi hizi[emoji116][emoji3578]View attachment 2952901
Hahahahaha..naongezeq mechi zote za FA wacheze Liti.. na PL wacheze Taifa au chamaziMi yanga namshauri Mwigulu aache kuhangaika na mpira wa singida ye aje yanga mazima washirikiane na gsm tutafika mbali afu yanga itatenga baadhi ya mechi zake zichezwe Lit