Hizi ndio jezi za singida black stars

Hizi ndio jezi za singida black stars

Ina maana wameshindwa kutafuta rangi yeyote ile mpaka wachukue ya Yanga na baadae tukiwafunga tunaambiwa ni sehemu ya Yanga ya kuchukua points bure...huyo Jamaa anataka kufanya kila kitu kama Yanga tu..
 
Ina maana wameshindwa kutafuta rangi yeyote ile mpaka wachukue ya Yanga na baadae tukiwafunga tunaambiwa ni sehemu ya Yanga ya kuchukua points bure...huyo Jamaa anataka kufanya kila kitu kama Yanga tu..
Mbona Mamelodi wanavaa rangi moja na Yanga haijawa tatizo Coastal Union na Simba rangi moja , Kagera na Prisons same colour shida ipo wapi
 
Ina maana wameshindwa kutafuta rangi yeyote ile mpaka wachukue ya Yanga na baadae tukiwafunga tunaambiwa ni sehemu ya Yanga ya kuchukua points bure...huyo Jamaa anataka kufanya kila kitu kama Yanga tu..
Hakuna mmiliki wa rangi mkuu
 
HIZI NDIO JEZI ZA SINGIDA BLACK STARS

“Hizi ndio aina ya jezi watakazotumia Singida Black Stars Fc zamani Ihefu fc kwa msimu huu wa ligi ya NBC Singida Black star wazamini wao wakuu ni kampuni ya Haier”

Neno Moja kwa Mbunifu wa jezi hizi[emoji116][emoji3578]View attachment 2952901
Just a quick question, pale EPL Kuna timu ya Aston Villa na West Ham, ushwahi toa maoni kama haya????
 
Back
Top Bottom