Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiondoke kwenye line utawaonaNdo nani mkuu [emoji23]
Mbona Mamelodi wanavaa rangi moja na Yanga haijawa tatizo Coastal Union na Simba rangi moja , Kagera na Prisons same colour shida ipo wapiIna maana wameshindwa kutafuta rangi yeyote ile mpaka wachukue ya Yanga na baadae tukiwafunga tunaambiwa ni sehemu ya Yanga ya kuchukua points bure...huyo Jamaa anataka kufanya kila kitu kama Yanga tu..
Utopolo BHIZI NDIO JEZI ZA SINGIDA BLACK STARS
“Hizi ndio aina ya jezi watakazotumia Singida Black Stars Fc zamani Ihefu fc kwa msimu huu wa ligi ya NBC Singida Black star wazamini wao wakuu ni kampuni ya Haier”
Neno Moja kwa Mbunifu wa jezi hizi[emoji116][emoji3578]View attachment 2952901
Hakuna mmiliki wa rangi mkuuIna maana wameshindwa kutafuta rangi yeyote ile mpaka wachukue ya Yanga na baadae tukiwafunga tunaambiwa ni sehemu ya Yanga ya kuchukua points bure...huyo Jamaa anataka kufanya kila kitu kama Yanga tu..
Just a quick question, pale EPL Kuna timu ya Aston Villa na West Ham, ushwahi toa maoni kama haya????HIZI NDIO JEZI ZA SINGIDA BLACK STARS
“Hizi ndio aina ya jezi watakazotumia Singida Black Stars Fc zamani Ihefu fc kwa msimu huu wa ligi ya NBC Singida Black star wazamini wao wakuu ni kampuni ya Haier”
Neno Moja kwa Mbunifu wa jezi hizi[emoji116][emoji3578]View attachment 2952901
Italy kuna Atalanta na Inter MilanJust a quick question, pale EPL Kuna timu ya Aston Villa na West Ham, ushwahi toa maoni kama haya????
Uzi wa kitambo [emoji23]Just a quick question, pale EPL Kuna timu ya Aston Villa na West Ham, ushwahi toa maoni kama haya????