Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!

wewe jamaa chunga kauli zako utawatafutia ban watu ha ha ha ha
 
Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!

hebu punguza dharau kwasababu kuna watu wanaishi kwa kupitia vipato vitukanavyo na hizo taaluma,tena wanalea watoto wao na wasio wakwao,ww kama baba ako au mama ako ni engeneer basi usidharau wengine wasomao taaluma hii,next time try just a little bit to think before posting anything.
 
Walimu wamekuwa wakali sana kwenye hii mada, wamegeuka mbogo. Mi nadhani kila field ina umuhimu wake na ndii maana engineer au daktari muda mwingi anautumia kwenye kazi zake..hata kama anaweza kufundisha ila hawezi kuwa na muda huo na ndio maana mwanae anampeleka shule. Ukija kwenye mamboya technology mainjinia wanahusika zaidi na hao wengineo waliotajwa.
 

Nadhani kuna watu wanaenda nje ya mada...kujipatia kipato hata kama huna elimu na unasomesha haipo ndani ya hii mada. Umuhimu wa hizo courses husika ndio mpango mzima, mambo ya kujipatia kipato na bla bla zingine ni nje ya mstari
 
nilisoma,nilielewa,mwenzio hakuchangia nje ya mada,majibu yako yakawa nje ya mada kwa kuongelea tatizo la ajira
 
hivi mkiwa porini mmepotea na Watu wa hizo professional wapo ... kila mmoja anataka awe kiongozi wa group yenu ... bahati mbaya dactari akasema mi napiga lapa atakaye jiunga nami aje. enginere na Hao wengine hivo hivo je .. mtamfata Nani?
kwani umeambatana na wagonjwa?tunakuacha uende zako,pia tambua kuwa yapo mazingira tofauti ambapo hata dakitari atahitaji engineer,lakini engineer ni zaidi ya udakitari,tukikosa dakitari tunaomba afya kwa Mungu lakini huwezi kuomba tekinolojia kwa Mungu
 

:thumbdown:
 
naongea na kichwa ngumu,utasema kemia ndio baba wakati yenyewe ndio imezaliwa na engineer,au wewe ulimzaa baba ama mama yako?mzazi anakuja mwanzo alafu mtoto anafata,uwepo wa engineering haukutegemea kemia,lakini uwepo wa kemia ulitegemea engineering.
 
Uuuuuuwwwwwiiiiiiiiiiiiiii... Ina maana sie tuliosoma BEE KEEPING hatuna umuhimu???
 
Hapa Ukianza Kuzungumzia Mwalimu, Hata Baba Na Mama Pia Walimu. Mlezi Wako Mwalimu Aha Aha Kufundishwa Ni Muhimu Watu 2mefundishwa Kuoga, Kuswak, Kunawa Ukienda Choo Na Vyengne Vng, NI MAWAZO YANGU 2 HAYO.
 
Hizi taaluma zinaishia duniani tu ila taaluma pekee itakayotumika hadi mbinguni ni Journalism(Uandishi wa habari) kwani itahitajika kutoa na kupeleka taarifa toka sehemu moja na nyingine.
 
Uweza ukasahau course za technologia kwa hii dunia ya sasa .technology is grown faster so lazma it or computer science ihusike bila hayo cjui hata hii post ungeiandikia wap? Kama sio kaz nzur ya ICT kutengeneza jf
Inawezekana ameijumuisha kwenye namba 2.
 
Kozi ya muhimu kuliko zote ni ile tu:
1. Inayokuwezesha kukua kiuchumi wewe binafsi, kijamii, kifikra na wala sio jina zuri la kozi.

Kuna jamaa yangu alihitimu Veta miaka ya 2002 (FTC) hana shahada wala hategemei kuitafuta kwa sasa, lakini amefungua kampuni yake ndogo ya majenzi (upauaji nyumba, ujenzi wa majiko, kufunga gypsum majumbani, uwekaji wa tiles majumbani nk).

Sasa hivi Jamaa ni mult milionea anamiliki mali ambazo hata sisi tuliojidai kumaliza miaka vyuoni hatuna. Dunia ya leo UJANJA NI KUWA NA SHABAHA YA KULENGA, SIO SIFA YA KUHUDHURIA MAFUNZO....
 

Yaani wewe ulipofikia sasahivi hauwezi kuambiwa lolote kuhusu umuhimu wa taaluma chochote zaidi ya engineering na technology.
Kama mpaka unaona Mungu hawezi kuhusishwa kwenye technology and innovation!!
Btw kitu ambacho nimeelewa wewe unaongelea ni historia ya innovation na science na technology. Ni jinsi gani ilianza na kujulikana. Kipindi hiko karibia kila kitu kiligundulika na watu waliokuwa na passion wa vitu hivyo (tunaelezwa kwenye history mpaka na majina ya hao watu mf. Isack Newton, Archimedes nk.)
Siku hizi, kuna shule za kufundisha hivi vitu vyote.
Kupitia hizi shule tunajifunza taaluma mbalimbali kulingana na passion ya mtu. Amini kuwa kuna watu passion yao ni kufundisha watu wengine kama ambavyo wewe ulivyo na passion ya engineering.

Hizi taaluma zote zinategemeana na zina umuhimu kila moja kwa nafasi yake. Umuhimu wa taaluma moja kuzidi nyingine ni very relative. Ndio maana wewe unauwezo wa kuona doctor hana umuhimu kuzidi engineer kwasababu unaweza kumuombea mgonjwa akapona lakini hauwezi kuombea technology!! 🙄
 
Naona malumbano yamepamba moto sana ila ukweli upo palepale kwamba taaluma kama MEDICINE,ENGINEERING,LAW,ACCOUNTING,ECONOMICS,NURING ,ARCHITECHURE, ni muhimu sana hatuwezi kuacha kusema ukweli kwamba MEDICINE ni taaluma nyeti sana katika maisha,tuje kwenye LAW ni kitu muhimu sana hebu fikiria pasingekuwa na SHERIA tungeishije? masuala ya ACCOUNTING&ECONOMICS ni muhimu sana katika kuboresha masuala mazima ya uchumi na biashara, tuje ENGINEERING ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote ile sekta ya uhandisi ni ya muhimu sana angalia nchi zote zilizoendelea duniani sekta ya ENGINEERING imepewa kipaumbele ,sasa basi kozi kama SOCIOLOGY,JOURNALISM,POLITICAL SCIENCE,HUMAN RESOURCE,LIBRARY,RECODING MANAGEMENT,COMMUNITY DEVELOPMENT sio sensitive kabisa na ndio maana fani kama JOURNALISM utakuta wapo ambao hawajasomea hiyo fani mfano,ZEMBWELA lakini kamwe huwezi kukuta mtu anafanya kazi za UDAKTARI wakati hajasomea
 
Umenena mkuu!
mimi nadhani koz zote zina umuhimu ...hata hiyo education unayoidharau..unamkumbuka mwl wako wa std one?? ukiweza kukumbuka alikokutoa utawahesim sana waalimu. afu jiulize kwa nn mama yako maybe ni doctor hakukufundisha akakupeleka shule,c o kla mtu anaweza kufundisha ndo mana hyo koz ikawepo.
 
nilisoma,nilielewa,mwenzio hakuchangia nje ya mada,majibu yako yakawa nje ya mada kwa kuongelea tatizo la ajira
Unashida wewe, hujijui tu.wewe tu ndo unaelewa.nani kataja ajira? Ila samahani ningejua toka mwazo nisingekujibu. Kwa heri.
 
By Perry

Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!



kaka huyo perry ali post kauli ya dharau nilicho kisema nikuhusiana na post ya perry,itazame vzur utaona inamapungufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…