Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

ODILI SAMALU

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
1,369
Reaction score
489
Wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.MEDICINE 2.ENGINEERING 3.LAW 4.NURSING 5.ECONOMICS 6.ACCOUNTS 7.VETERNARY MEDICINE 8.ARCHITECTURE
 
Hakuna course muhimu zaidi kuliko nyingine ndio maana zipo, naungana na SAMILAKADUNDA kuwa EDUCATION ndo mama yao.
 
Taaluma zinategemeana tusidamganyane ila maslahi ndo yanapishana.
 
Wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.MEDICINE 2.ENGINEERING 3.LAW 4.NURSING 5.ECONOMICS 6.ACCOUNTS 7.VETERNARY MEDICINE 8.ARCHITECTURE

Hivi una akili kweli wewe? hakuna chochote hapo bila Education.Hupati nesi bila mwalimu, daktar bila mwalimu, mhandisi bila mwalimu.Futa au ongeza education kwenye huo uzi vingnevyo nawambia walimu kuwa hawana umuhimu mashuleni, hivyo wagome mara moja.
 
Wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.MEDICINE 2.ENGINEERING 3.LAW 4.NURSING 5.ECONOMICS 6.ACCOUNTS 7.VETERNARY MEDICINE 8.ARCHITECTURE

jamani muwe mnakunywa viroba vya wastani basi angalau akili zinabaki hata kidogo halafu maneno ya vijiweni muyachuje sio kila ukiambiwa ukubali
 
Uweza ukasahau course za technologia kwa hii dunia ya sasa .technology is grown faster so lazma it or computer science ihusike bila hayo cjui hata hii post ungeiandikia wap? Kama sio kaz nzur ya ICT kutengeneza jf
 
Kweli kabisa,sio unakuta libaba lizima limekomaa eti linasoma sociology,community development au ualimu,ujinga mtupu!
 
Kwa taarifa kama hii ni lazima uwe na source of information la sivyo wewe ni attention seeker, be smart.
 
Hakuna kozi inayodharaulika kama medicine maneno ya watu tu hamna lolote ningekua ndo namaliza form six nisingesoma medicine
 
Hivi una akili kweli wewe? hakuna chochote hapo bila Education.Hupati nesi bila mwalimu, daktar bila mwalimu, mhandisi bila mwalimu.Futa au ongeza education kwenye huo uzi vingnevyo nawambia walimu kuwa hawana umuhimu mashuleni, hivyo wagome mara moja.
Hii inaonyesha humu ndani kumejaa SHKAAAAMOOO MWAAAALIM.
 
Back
Top Bottom