Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

Hizi ndio kozi/taaluma za muhimu duniani

anayosema PERRY ni kweli, me mwenyewe huwa najiuliza kweli mtoto wa kiume kuchukua hkl, sijui na h kunani hizo nyingine! yani wanashindwa hata na dada zetu wanaochukua medicine! tena me naona hata hiyo law wamefanya makosa kuipa nafasi ya 3. ya tatu ilitakiwa kuwepo veternary medicine.

Mkuu nimepanga random tu sijazingatia ya kwanza
 
shkaaamooo mwaaalim
marahaba mwana funzi, jana tulijifunza nini?????? kimya............... nakuuliza wewe mwanfunzi dikembe ??? kazi kupasha madawati tuu hapa jamiiforum hutaki hata kushughurisha kichwa yako, haya shika chini m.b.u.rula wewe.
 
wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.medicine 2.engineering 3.law 4.nursing 5.economics 6.accounts 7.veternary medicine 8.architecture
sio kweli fani muhimu ya kwanza ni sheria kisha vet med kisha human med n.k
 
.
Kaka hupati
.
Daktari bila Daktari
Engeneer bila engeneer
.
Mwalimu anakaa wapi hapo?

wewe kweli hamnazo ukishaelewa maana ya neno mwalimu njoo unielimishe mimi.A teacher is a some one who facilitate material in teaching and learning process haijalish awe mwl wa engeneering, philosophy, doctor etc.Upo?
 
wakuu zifuatazo ni kozi za muhimu duniani hii ni kutokana na umuhimu wake ambazo ni 1.medicine 2.engineering 3.law 4.nursing 5.economics 6.accounts 7.veternary medicine 8.architecture
nan kasema? Kila mwamba ngoma huvutia kwake japo mm ni mwalimu ctak kuvutia kwangu ukwel ni kuwa course zote ni muhim na zinategemeana ktk maisha
 
Nafikili odili haupo sawa ndo maana una post sivyo ndivyo....sasa ngojea chief Nanga hakueneshe ipi kozi bora
 
Me naona course bora ni kugegedana manake bila hiyo hao maengineer na manurse wasingekuwepo duniani. Naomba kufunga mjadala.
 
kozi nzuri na muhimu ni political science mfano mzuri hapa tz angalia hao waliosoma hizo coz wanavyopelekeshwa na mapolitian
 
2natafuta maisha hatutafut ubora wa program 2nazoxoma wa2 ishu ni kukaza bot and try to thnk outside the box and not inside the box afu mleta uz uwe na refence,
 
thread za first year hizi. mkija kwenye ajira ndo ktajua umuhimu wa kila professionalism
 
Back
Top Bottom