Hizi ndio nyimbo mbovu ila zinabebwa na media

nakusupport kwenye nyimbo Kijuso ic hii nyimbo na mimi siipendi kabisaaaaaaaaaaaaa
 
Hizi nyimbo hapa chini sijawahi kuzipenda,na kila nikijilazimisha kuzipenda bado moyo unagoma.

1.Aje =kiba
2.Muziki = Darasa.
3.Kajiandae = Dimpoz,kiba.
4.Hela =Madee.
5.Moyo mashine =Ben Pol.
6.Dume suruali = F.A.
[emoji23][emoji23][emoji23]hizi chuki binafsi sasa yaani hadi Muziki ya darassa [emoji13]
 
waya ya joh makini ni ngoma mbaya munooooo
 
mzee, ukiona hata asiyejua muziki amestuka kuwa kuna vitu vingine ni boko, ogopa sana........kuwa 'Unga wa ndere' hauna nguvu tena bila juhudi binafsi
Wabongo tunaongoza kwa kujifanya wajuaji! Hata kwa tusiyoyajua!
 
sasa nyimbo zenyewe huzijui halafu unatuandikia utumbo hapa we vipi, Ngoma ya Joh makini imesimama vizuri tu labda kama ww ni mbana pua, nyimbo ya chege AY hazina tatizo pia hata ya Ray kijuso haina tatizo tena wadada wanaishobokea sana tu
 
Tuonyeshe WA kwako ulioutunga ambao ni mzuri ndo uje ukosoe za wengine kinyume na hapo ni wivu wa kike
 
hpo koooote sawa... ila hpo kwa madee mkuu embu jaribu kufikir upya
 
Huwa najiuliza logic ya kubamba ngoma ya mziki from darasa..... Cjuibna ctojua coz ukizinamba ngoma za darasa kuna pini nzuriiii na logical zaidi ya "mziki"
 
Kuna wasanii wanatoa nyimbo lakini hata wao wenyewe wanashindwa kusikiliza halafu wanataka sisi ndo tuzipende. Kama hiyo Yono sijui kama Dully anaweza kukaa geto akaisikiliza
[emoji134] [emoji23]
 
Ni haki yako kikatiba kutoa maoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…