Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Vanessa yuko vizuri sex lady
Yule demu mchina sijui mjapanDaa jux hasira yake yote kahamishia kwenye kunyanyua chuma,anapiga chuma hataree
Kwaiyo umeniediti sio?Nimesha edit
Nitumie mbinu zipi kumpata Mimi Mars ?yule mdogo wake namuelewaga kinoma
EndiwoKwaiyo umeniediti sio?
Ameishi marekani kipindi baba yake akiwa balozi wa Tanzania marekaniasifurahishe..yeye aseme tu kuwa kuishi America pekee ndio ilikuwa ndoto yake, chezea kuwa na uraia wa Mr Trump.
Vanessa mdee ajatokea kwenye dhiki mkuuSina tatizo na yeye kuacha mziki, wasiwasi wangu ni kusema mchizi kamtoa shimoni ambapo alikuwa anahamngamia.
Kwasasa tayari mwamba ameshajua udhaifu wa bibie, kwamba katokea kwenye dhiki, kapitia majaribu na shida nyingi kwenye mziki wake usiompa faida.
Kwa jinsi wanaume wa Kiafrika tulivyo, huwa tunatumia udhaifu kama huo kunyanyasa wanawake.
Sasa Mchizi akimkataa mbeleni bibie atakwenda wapi? Atafanya nini?
Taratibu mambo yakooooh, nakuonea huruma mweeeeeeh.Nitumie mbinu zipi kumpata Mimi Mars ?
Nisaidie kumpataTaratibu mambo yakooooh, nakuonea huruma mweeeeeeh.
Eti eeeeeeh? Haya bhanaNisaidie kumpata
Nina box la rough rider hapa
Napata connection ?Eti eeeeeeh? Haya bhana
Mie sina connection lolNapata connection ?
Unanichinjia baharin mkuuu. Mim nautaman sana ule utamuMie sina connection lol
Lol mie hata sina connection mbna, uwiiiiiiiiiihUnanichinjia baharin mkuuu. Mim nautaman sana ule utamu
Sahihi kabisa, wabongo hawaelewi kiki ndio maana michezo ya kiki haitaishaBongo bhana sitashangaa kama sio kiki hii baadaye unasikia mtu kaachia album huko.